Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BiFmwY73h04/VA2Nv2qorFI/AAAAAAAGhvE/n9dyUi7_3ro/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU UENDESHAJI WA WAKALA BINAFSI WA HUDUMAZA AJIRA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-BiFmwY73h04/VA2Nv2qorFI/AAAAAAAGhvE/n9dyUi7_3ro/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wakala wa huduma za ajira Tanzania (TaESA) wamefanikiwa kutoa mafunzo kwa watafuta kazi 2146
Afisa Habari wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bi. Jamila Mbaruku akiewaeleza waandishi wa Habari( hawapo pichani) kuhusu kuhusu mikakati ya wakala wa huduma za ajira kusaidia wananchi wa tanzania kuingia katika ushindani wa soko la ajira nchini ikiwemo kutoa mafunzo kwa Watafuta kazi.Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Tawala wa Wakala hiyo Bw. Peter Ugata.
Afisa Tawala wa Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) Bw. Peter Ugata akitoa wito...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.
Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q_VodpDDQ08/VD_bQL_OQKI/AAAAAAAGq9M/KEx211MEZ_s/s72-c/unnamed.jpg)
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA YATOA NAFASI 44 ZA AJIRA
Kwa mujibu wa Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa GST, Bw.Gabriel Kasase alimjulisha Afisa habari wa GST kuwa ajira hizo 44 zimegawanyika katika kwa kila idara ya taasisi ambazo alizitaja kuwa Idara ya utawala nafasi kumi na sita (16) , Idara ya Jiolojia nafasi kumi na moja(11) ,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YAYATAKA MAKAMPUNI KUACHA KUTOA NAFASI NYINGI ZA AJIRA KWA WAGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbY6mNfgXPQ/VGhg9QMLkvI/AAAAAAAGxmY/9cQC8-lrW_o/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
GPLWAKALA WA HUDUMA ZA AJIRA ATANGAZA UTARATIBU WA KUZINGATIA KUUNGANISHWA NA FURSA NJE YA NCHI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-agRf4ZvQ2Zc/XvXvZ9B-psI/AAAAAAALvjw/hHlNlQLEOA4kU1OBMkC7y-ALI1CcDPU2gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)