Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.
Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziKANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eSLaHeYShec/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s72-c/New%2BPicture.png)
Uzinduzi wa Huduma Mpya ya MaxMalipo kwa kutumia Simu ya Kiganjani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ITvq3K7dJw4/VVB0RVH8LjI/AAAAAAAC4QQ/0n-_pi6nawA/s640/New%2BPicture.png)
Maxcom Africa maarufu kama MaxMalipo ni kampuni ya kitanzania iliyoanzishwa mwaka 2010 ambayo imewekeza...
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini
Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bw. Ridhiwan Wema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Frank-Mvungi-Maelezo
Serikali yatoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira Bw. Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waansishi wa habari.
Makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Taasisi,Mashirika na Makampuni yaaswa kutumia sehemu ya faida wanayopata kusaidia Huduma za AFYA
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo kabla ya kukabidhi msaada wa shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwyrIlpTJpk/Vgbg-AifwTI/AAAAAAAC_s0/VTE4t6sGYbw/s72-c/image_1.jpg)
TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YAASWA KUTUMIA SEHEMU YA FAIDA WANAYOPATA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwyrIlpTJpk/Vgbg-AifwTI/AAAAAAAC_s0/VTE4t6sGYbw/s640/image_1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g9d4VF-F38E/VgbhAWKrBZI/AAAAAAAC_tE/nyZiaDFAxB8/s640/image_3.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s72-c/01.jpg)
Saudia yaipatia Serikali ya Tanzania zaidi ya Sh. bilioni 45 kuboresha huduma za jamii nchini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EiSnWBWqEwM/VIBgrzFI0xI/AAAAAAACv4w/EFYPJG8KuO8/s1600/02.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMPUNI YA MAWASILINANO YA SIMU YATAKIWA KUBORESHA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAO ILI KUONDOA MALALAMIKO