Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi,Mashirika na Makampuni yaaswa kutumia sehemu ya faida wanayopata kusaidia Huduma za AFYA

image Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi  na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo  kabla ya kukabidhi msaada wa  shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo.

Aron Msigwa -MAELEZO. [Kisarawe, PWANI]. Wito umetolewa kwa Taasisi, mashirika na makampuni kote nchini kujenga utamaduni  wa kutumia sehemu ya faida wanayoipata katika kuisaidia jamii kupitia sekta ya afya ambayo inakabiliwa na changamoto...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YAASWA KUTUMIA SEHEMU YA FAIDA WANAYOPATA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA.

  Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi  na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo  kabla ya kukabidhi msaada wa  shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo. Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akikabidhi msaada wa shuka 176 kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Dkt.Martin Msokela (kulia) leo. Mashuka hayo yametolewa na chuo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!

DSC_0072

Ofisa Habari Mwandamizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prisca Ulomi, akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na Maktaba)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.

Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Plan kutumia mil. 161/- kuboresha huduma ya afya

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Plan Ifakara linakusudia kutumia sh milioni 161 katika mwaka wa fedha 2013/2014 ili kuboresha huduma za afya katika kata saba wilayani Kilombero. Akizungumza katika kikao...

 

10 years ago

Habarileo

Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.

 

11 years ago

Michuzi

NHIF WAENDELEA KUSAIDIA HUDUMA KWENYE WODI YA AKINA MAMA NA WATOTO KITUO CHA AFYA MLANDIZI

 Mwenyekiti wa kamati ya kituo cha afya Mlandizi, bw Makamba Mwaluka (watatu kushoto), akiwakaribisha wageni kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya baada ya kufanya ziara katika wodi ya akina mama na watoto Kituo cha Afya Wilayani Mlandizi. Juni 12,2014 na kukabidhi mashuka kwenye kituo hicho (kulia kwake), Muendeshaji shughuli mama Gaudensia Ndegea (katikati kulia), Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha, Michael John, na Mjumbe wa bodi NHIF, bwana Charlse Kajege.  

 

9 years ago

StarTV

Wakurugenzi,wenyeviti watakiwa kusimamia mashirika ya umma Ili kuliingizia taifa faida

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Magufuli amewaagiza wakurugenzi na wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma nchini kuhakikisha taasisi na kampuni wanazosimamia zinazalisha.

Agizo hilo limetolewa na Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru kwenye mkutano wa wakurugenzi na watendaji wakuu wa taasisi na mashirika ya umma .

Agizo la serikali limezilenga taasisi zake kuhakikisha zinajiendesha kwa faida na kuliingizia taifa faida ili kuendelea kutoa huduma kwa jamii kwa mashirika ya...

 

11 years ago

Michuzi

Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana,Utramaduni na Michezo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Michezo na Burudani kuelekea maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Bw. Leonard Thadeo wakwanza kulia akiongoza tamasha la mazoezi ya viungo kwa Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma mapema wikiendi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo ni muendelezo wa program mbalimbali za kuadhimisha Muungano kwa njia ya Mchezo...

 

9 years ago

StarTV

Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu

Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani  kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani  ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.

Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya  wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.

 Mkurugenzi wa shirika lisilo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani