Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu

Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani  kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani  ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.

Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya  wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.

 Mkurugenzi wa shirika lisilo la...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti

Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.

Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.

Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA KWA KUWAJALI WATOTO

Mkuu wa Kitengo cha Usuluishi na Ushauri wa Sheria (katikati) akisisitiza jambo kwa wanahabari alipokuwa akitoa tamko kwa vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Valerie Msoka. Kushoto ni Mwanasheria wa Tamwa, Loyce Gondwe na kulia ni Mwanachama wa TAMWA, Marie Shaba. Mkutano wa waandishi wa habari pamoja na wawakilishi wa TAMWA wakisoma tamko lao juu ya umuhimu wa jamii kuwajali watoto.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Taasisi zatakiwa kuweka wazi takwimu

SERIKALI imezitaka taasisi na idara zake kuweka wazi takwimu mbalimbali ili kutoa fursa kwa wananchi kufahamu ahadi na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya serikali.

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UZAZI


 Kina mama wakionyesha mfano wa kuwanyonyesha watoto wachanga katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo akizundua kitabu maalum cha Mwongozo wa Mafunzo ya Ulishaji wa watoto wachanga na wadogo katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Juzi (kushoto) ni kaimu mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Habarileo

Taasisi za serikali zatakiwa kubadilisha barua pepe

TAASISI za Serikali nchini zimetakiwa kufanya mabadiliko katika mfumo wa barua pepe za serikali ili kuendana na mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi nyeti zatakiwa kuilipa Tanesco madeni

VIONGOZI wanaosimamia taasisi nyeti na zenye madeni makubwa ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa madeni hayo ya umeme ili kutoa nafasi kwa shirika hilo kujisimamia na kujiendesha.

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi za usafiri zatakiwa kuweka viwango kudhibiti ajali

MAMLAKA zinazosimamia usafiri wa majini na nchi kavu nchini zimetakiwa kudhibiti vyombo vya majini na kuweka viwango kwa ajili ya kupunguza ajali za baharini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani