Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA KWA KUWAJALI WATOTO

Mkuu wa Kitengo cha Usuluishi na Ushauri wa Sheria (katikati) akisisitiza jambo kwa wanahabari alipokuwa akitoa tamko kwa vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Valerie Msoka. Kushoto ni Mwanasheria wa Tamwa, Loyce Gondwe na kulia ni Mwanachama wa TAMWA, Marie Shaba. Mkutano wa waandishi wa habari pamoja na wawakilishi wa TAMWA wakisoma tamko lao juu ya umuhimu wa jamii kuwajali watoto.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA NA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA

Watanzania Wameshauriwa Kuwekeza kwenye Mifuko Iliyo Chini ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania Kwa Lengo la Kuwekeza kwaajili ya Maisha mara Baada ya Kusataafu.
Wito Huo Umetolewa  na Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano Kutoka Dhamana ya uwekezaji Tanzania Bwana Daudi Mbaga Wakati Akitoa Mada Kwenye Semina ya wafanyakazi Wanaokaribia Kustafu Inayoendelea Mkoani Morogoro.
Alisema Kwamba Watanzania Wengi huwa hawajui Nini Cha Kufanya Pindi Wanapostaafu Hali Inayosababisha Watanzania...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania washauriwa kuwekeza katika Hisa Kukuza Mtaji

Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwekeza katika hisa na kutumia fursa za kibenki kwaajili ya kujiwekea akiba ya matumizi ya baadaye ili kuondokana na mazingira magumu ya kiuchumi.

Takwimu zinaonesha kuwa, mataifa mbalimbali yaliyoendelea duniani, yameweza kuwa na uchumi imara kutokana na uwekezaji katika sekta binafsi na ushirikishwaji wa  wananchi katika shughuli mbalimbali za kiuchumi.

Katika mkutano wa 10 wa mwaka wa Mfuko wa Umoja wa kampuni ya Uwekezaji Tanzania (UTT) wenye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waislamu washauriwa kuwekeza kwenye elimu

WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuwekeza mali na fedha zao kwenye elimu hususan kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na yatima ili waweze kujikwamua kimasomo. Ushauri huo umetolewa na...

 

11 years ago

Habarileo

Wajenzi wazalendo washauriwa kuwekeza Kigamboni

KAMPUNI binafsi za kitanzania zimetakiwa kuwekeza katika ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni. Mwito huo ulitolewa bungeni leo na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene wakati akijibu swali la Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM).

 

9 years ago

StarTV

Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu

Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani  kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani  ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.

Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya  wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.

 Mkurugenzi wa shirika lisilo la...

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA


Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.Muongozaji wa majadiliano Mrakibu Msaidizi wa Polisi Bw. Athumani Mtasha akifafanuakuhusu nafasi ya polisi katika kudhibiti makosa ya kimtandao na ushirikiano na vyombo vya Habari wakati wa mkutano wa majadiliano ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika jijini Dodoma.Washiriki wa mkutano wa...

 

9 years ago

Michuzi

Mzumbe yawataka watanzania kuwekeza elimu kwa vijana

Watanzania wametakiwa kuwekeza kwa kuwapatia vijana wao elimu ya juu ili kuwawezesha kuwa na maarifa yatakayowasaidia katika maisha yao na kutoa mchango kwa taifa.  Akizungumza katika mahafali ya 14 ya Chuo Kikuu Mzumbe, Kaimu Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Josephat Itika alisema elimu bora ndio njia ambayo itaweza kuwezesha vijana kufanikiwa na taifa kupata maendeleo endelevu.  “Elimu ndio chachu ya kweli ya maendeleo, ni lazima wazazi na walezi kuzingatia hili,” alisema Prof. Itika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania washauriwa kuitumia neema ya gesi kupeleka hifadhi ya jamii kwa kila mtu

DSC_0013

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,na Mwenyekiti wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha, Mh. Aggrey Mwanri, akiendesha shughuli za mkutano huo uliomalizika hivi karibuni katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC).(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na  Mwandishi wetu, Arusha

MTAALAMU mmoja wa masuala ya uchumi anayefanyakazi na Shirika la Maendeleo la Umoja wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania washauriwa kushirikiana

WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani