WATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA KWA KUWAJALI WATOTO
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0031.jpg?width=650)
Mkuu wa Kitengo cha Usuluishi na Ushauri wa Sheria (katikati) akisisitiza jambo kwa wanahabari alipokuwa akitoa tamko kwa vyombo vya habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Bi. Valerie Msoka. Kushoto ni Mwanasheria wa Tamwa, Loyce Gondwe na kulia ni Mwanachama wa TAMWA, Marie Shaba. Mkutano wa waandishi wa habari pamoja na wawakilishi wa TAMWA wakisoma tamko lao juu ya umuhimu wa jamii kuwajali watoto.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWATANZANIA WASHAURIWA KUWEKEZA NA DHAMANA YA UWEKEZAJI TANZANIA
Wito Huo Umetolewa na Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano Kutoka Dhamana ya uwekezaji Tanzania Bwana Daudi Mbaga Wakati Akitoa Mada Kwenye Semina ya wafanyakazi Wanaokaribia Kustafu Inayoendelea Mkoani Morogoro.
Alisema Kwamba Watanzania Wengi huwa hawajui Nini Cha Kufanya Pindi Wanapostaafu Hali Inayosababisha Watanzania...
9 years ago
StarTV22 Nov
Watanzania washauriwa kuwekeza katika Hisa Kukuza Mtaji
Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwekeza katika hisa na kutumia fursa za kibenki kwaajili ya kujiwekea akiba ya matumizi ya baadaye ili kuondokana na mazingira magumu ya kiuchumi.
Takwimu zinaonesha kuwa, mataifa mbalimbali yaliyoendelea duniani, yameweza kuwa na uchumi imara kutokana na uwekezaji katika sekta binafsi na ushirikishwaji wa wananchi katika shughuli mbalimbali za kiuchumi.
Katika mkutano wa 10 wa mwaka wa Mfuko wa Umoja wa kampuni ya Uwekezaji Tanzania (UTT) wenye...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Waislamu washauriwa kuwekeza kwenye elimu
WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuwekeza mali na fedha zao kwenye elimu hususan kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na yatima ili waweze kujikwamua kimasomo. Ushauri huo umetolewa na...
11 years ago
Habarileo16 May
Wajenzi wazalendo washauriwa kuwekeza Kigamboni
KAMPUNI binafsi za kitanzania zimetakiwa kuwekeza katika ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni. Mwito huo ulitolewa bungeni leo na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene wakati akijibu swali la Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM).
9 years ago
StarTV24 Dec
Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu
Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.
Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.
Mkurugenzi wa shirika lisilo la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ghm6G37z5M/Xs5dCXDDKRI/AAAAAAAAH8U/rqiyZRJDYYApjpwAKRsaD1lJWVIzudxawCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P-WIdrfvkgY/Xs5dDBhbCBI/AAAAAAAAH8c/SO2djtsPsywdEWM-Wpaf06L0l3cr-FG1wCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-akw_DmpYaq0/VmPxIQeU4-I/AAAAAAAIKag/BRUJigoR3eY/s72-c/IMG_4833.jpg)
Mzumbe yawataka watanzania kuwekeza elimu kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Watanzania washauriwa kuitumia neema ya gesi kupeleka hifadhi ya jamii kwa kila mtu
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,na Mwenyekiti wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha, Mh. Aggrey Mwanri, akiendesha shughuli za mkutano huo uliomalizika hivi karibuni katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC).(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Arusha
MTAALAMU mmoja wa masuala ya uchumi anayefanyakazi na Shirika la Maendeleo la Umoja wa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watanzania washauriwa kushirikiana
WATANZANIA wameshauriwa kuunganisha nguvu na kushiriki katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya kijamii ambayo wanaona inaweza kuwa na msaada katika kuwaletea maendeleo badala ya kusubiri serikali kufanya kila jambo. Wito...