Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taasisi zatakiwa kuweka wazi takwimu

SERIKALI imezitaka taasisi na idara zake kuweka wazi takwimu mbalimbali ili kutoa fursa kwa wananchi kufahamu ahadi na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya serikali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Taasisi za usafiri zatakiwa kuweka viwango kudhibiti ajali

MAMLAKA zinazosimamia usafiri wa majini na nchi kavu nchini zimetakiwa kudhibiti vyombo vya majini na kuweka viwango kwa ajili ya kupunguza ajali za baharini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Guardiola kuweka wazi hatima

Mkufunzi mkuu wa Bayern Munich Pep Guardiola anasema kuwa ataelezea "wazi" kuhusiana na mustakabali wake ligi ya Bundesliga juma lijalo.

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UZAZI


 Kina mama wakionyesha mfano wa kuwanyonyesha watoto wachanga katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo akizundua kitabu maalum cha Mwongozo wa Mafunzo ya Ulishaji wa watoto wachanga na wadogo katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Juzi (kushoto) ni kaimu mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Uwoya hapendi kuweka wazi mambo yake

 

uwoyaNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine.

Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii.

Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii kama wanavyofanya baadhi ya wasanii.

“Ukweli ni kwamba, sipendi kuweka...

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi za serikali zatakiwa kubadilisha barua pepe

TAASISI za Serikali nchini zimetakiwa kufanya mabadiliko katika mfumo wa barua pepe za serikali ili kuendana na mabadiliko ya sasa ya sayansi na teknolojia.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi nyeti zatakiwa kuilipa Tanesco madeni

VIONGOZI wanaosimamia taasisi nyeti na zenye madeni makubwa ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa madeni hayo ya umeme ili kutoa nafasi kwa shirika hilo kujisimamia na kujiendesha.

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO

   NA SALVATORY NTANDUSerikali imezitaka Taasisi za kifedha nchini kuacha urasimu katika utoaji wa mikopo kwa wawekezaji wa viwanda wa ndani ili kuwasaidia kukuza mitaji yao hali ambayo itachangia kuongeza ajira.
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Ali Idd  wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa  viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...

 

9 years ago

StarTV

Taasisi, mashirika zatakiwa kuwajali watoto wa mitaani msimu wa sikukuu

Kukoseka kwa jitihada thabiti za jamii katika kuunga mkono Taasisi zisizo za kiserikali na Mashirika ya mbali mbali yanayojihusisha na watoto wa mitaani kuwarudisha majumbani  kunazorotesha juhudi za kupunguza ongezeko la watoto wanaokimbila mijini na kuishi mitaani  ambao ni nguvu kazi ya taifa kwa siku za usoni.

Watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi ikiwemo elimu na malezi ya  wazazi ndugu na jamaa na kuishi katika mazingira magumu na hatarishi.

 Mkurugenzi wa shirika lisilo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani