Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO

   NA SALVATORY NTANDUSerikali imezitaka Taasisi za kifedha nchini kuacha urasimu katika utoaji wa mikopo kwa wawekezaji wa viwanda wa ndani ili kuwasaidia kukuza mitaji yao hali ambayo itachangia kuongeza ajira.
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Ali Idd  wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa  viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Simbakalia ataka Tanesco kuacha urasimu

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia, amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wananchi wanaokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme wanapatiwa huduma hiyo kwa wakati. Simbakalia alitoa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yaitaka serikali kuacha urasimu


SERIKALI imeshauriwa kupunguza urasimu wa ufanyaji biashara katika maeneo ya mipakani, ili wananchi wengi  watumie fursa hiyo katika kujiongezea kipato.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alipokuwa akizungumza na wakazi wa Himo.
Alisema Tanzania ni nchi pekee ambayo mikoa yake zaidi ya 14 imekuwa ikipakana na nchi za jirani.
Kinana alisema  iwapo wananchi wa mikoa hiyo wakitumia fursa hiyo ya kupakana na nchi jirani kufanya biashara, kutawasaidia katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa amewataka baadhi ya watendaji kupunguza urasimu wakati wa kusajili majina ya kufungua biashara za watu mbalimbali nchini.

 

5 years ago

Michuzi

SACCOS ZATAKIWA KUWEKEZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAO

 Mrajisi Msaidizi anayesimamia vyama vya ushirika wa Kifedha kutoka Dodoma Josephat Kisamalala akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo AFISA Ushirika kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dodoma Boniphace Moshi akizungumza wakati mafunzo hayo MRAJISI Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Tanga Jackline Senzige akizungumza wakati wa mafunzo hayo Sehemu ya washiriki kwenye mafunzo hayo Sehemu ya washiriki kwenye kikao hicho wakifuatilia matukio mbalimbaliVYAMA vya Ushirika wa Akiba na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Muswada wa taasisi za kifedha waja


NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema serikali itapeleka bungeni  muswada wa sheria ambao utawawezesha wananchi kuanzisha taasisi za kifedha.
Mwigulu alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Igunga, Dk. Dalaly Kafumu, aliyetaka kujua lini serikali itawawezesha wakazi wa Igunga kuanzisha  taasisi za kifedha.Mwigulu alisema muswada huo utaandaliwa na kupelekwa bungeni wakati wowote kuanzia sasa.Katika swali la msingi, Dk. Kafumu alitaka...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA UZAZI


 Kina mama wakionyesha mfano wa kuwanyonyesha watoto wachanga katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Charles Pallangyo akizundua kitabu maalum cha Mwongozo wa Mafunzo ya Ulishaji wa watoto wachanga na wadogo katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Unyonyeshaji Duniani yaliyofanyika kitaifa wilayani Mufundi mkoani Iringa Juzi (kushoto) ni kaimu mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Taasisi zatakiwa kuweka wazi takwimu

SERIKALI imezitaka taasisi na idara zake kuweka wazi takwimu mbalimbali ili kutoa fursa kwa wananchi kufahamu ahadi na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya serikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asilimia 97 ya walimu wanakopa taasisi za kifedha

IMEELEZWA kuwa asilimia 97 ya walimu Tanzania wanakopa katika taasisi mbalimbali za kifedha zinazotoa riba kubwa na kusababisha maisha yao kuwa duni. Utafiti uliofanywa na taasisi inayoshughuka na Utafiti na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani