Asilimia 97 ya walimu wanakopa taasisi za kifedha
IMEELEZWA kuwa asilimia 97 ya walimu Tanzania wanakopa katika taasisi mbalimbali za kifedha zinazotoa riba kubwa na kusababisha maisha yao kuwa duni. Utafiti uliofanywa na taasisi inayoshughuka na Utafiti na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Cv3eTSKLF9I/VQhI3LLJeUI/AAAAAAAACAk/TH2gWsxnAYE/s72-c/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
Muswada wa taasisi za kifedha waja
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema serikali itapeleka bungeni muswada wa sheria ambao utawawezesha wananchi kuanzisha taasisi za kifedha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cv3eTSKLF9I/VQhI3LLJeUI/AAAAAAAACAk/TH2gWsxnAYE/s1600/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
Mwigulu alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Igunga, Dk. Dalaly Kafumu, aliyetaka kujua lini serikali itawawezesha wakazi wa Igunga kuanzisha taasisi za kifedha.Mwigulu alisema muswada huo utaandaliwa na kupelekwa bungeni wakati wowote kuanzia sasa.Katika swali la msingi, Dk. Kafumu alitaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
Taasisi za kifedha zashauri kupunguza riba
![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PawhFJeehdA/VFdGtskixAI/AAAAAAAGvO8/ae9AjeOT8Yw/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0189OLuvkDk/VFdGti4RuQI/AAAAAAAGvO4/Q_CyeqSnsro/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
Na Kibada Kibada Rukwa.
Waziri wa Uwekezaji na uwezeshaji Dkt Mary Nagu ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iUxn6g1mnuE/U1epjLMz8cI/AAAAAAAFccw/NiZcQ8QoMCI/s72-c/PICHA+MKINDI+3.jpg)
WAKULIMA KUKUTANISHWA NA TAASISI ZA KIFEDHA KWA AJILI YA MAFUNZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUxn6g1mnuE/U1epjLMz8cI/AAAAAAAFccw/NiZcQ8QoMCI/s1600/PICHA+MKINDI+3.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha
WAKULIMA na wafanyabiashara za kilimo zaidi ya 500 kanda ya kaskazini mwa Tanzania wanatarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s72-c/blog%2B11.jpg)
NSSF YAKUTANA NA MAAFISA RASILIMALI WATU WA TAASISI ZA KIFEDHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s1600/blog%2B11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2MpG3izoTY/U_BL3esnu0I/AAAAAAABFdc/lAgo3ckmTzQ/s1600/blog%2B6e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ev_AQBJBVww/U_BL7-jIlSI/AAAAAAABFdo/MJ24xA3qfZU/s1600/blog%2B7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SJR65qwPxWI/VZgR6x2I8hI/AAAAAAAAJBQ/mzl5YiXjNlI/s72-c/balozi%2Bna%2Bbayport%2Bpia.jpg)
TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services yafutulisha wadau wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-SJR65qwPxWI/VZgR6x2I8hI/AAAAAAAAJBQ/mzl5YiXjNlI/s640/balozi%2Bna%2Bbayport%2Bpia.jpg)
TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, jana imefuturisha wadau wake wanaoendelea na mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan, huku ikiwataka kudumisha amani, umoja, upendo na mshikamano kwa Watanzania wote. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Utawala wa...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1-2.jpg?width=650)
MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA YA PESA EXPO KUFANYIKA MWEZI SEPTEMBA
5 years ago
CCM BlogTAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO
Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Ali Idd wilayani, Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kwanza baada ya kutembelea na kukagua eneo la ujenzi wa viwanda vitatu katika eneo la chapulwa vinavyojengwa na KOM GROUP...
11 years ago
Mwananchi31 May
Asilimia 25 ya walimu hufundisha ‘makorokocho’
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
TWIGA BANCORP yajivunia kuwa taasisi ya kifedha inayoongoza kutoa huduma bora za kibenki
Wafanyakazi wa Benki ya Twiga Bancorp wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda lao mapema leo, kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.
Mama Mjasiliamali wa kampuni ya Tree of Life, Bi.Jessica Msamba akifafanua jambo kwa Afisa Masoko wa Twiga Bancorp,Bwa.Adalbert Alchard mapema leo mchana kwenye maonesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam.Bi Jesca ni mmoja wa wateja wakubwa wa benki hiyo na amekuwa akiendesha biashara zake za ujasiliamali...