MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA YA PESA EXPO KUFANYIKA MWEZI SEPTEMBA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1-2.jpg?width=650)
Raymond Mhenge Mtaalam wa Biashara za Kimataifa wa Kampuni ya PESAEXPO akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar es salaam wakati alipoelezea kuhusu maonyesho hayo yanayotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa tisa jijini Dar es salaam, kutoka kulia ni Sunday Mashele Mkurugenzi Mwenza Kampuni ya Exclusive Media na Godie Gervas Mkurugenzi wa Exclusive Media Godie Mashelle Mkurugenzi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA PESA EXPO KUFANYIKA SEPTEMBA MWAKA HUU.
Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.KAMPUNI Exclusive media (T)Ltd ikishirikiana na Qutub Global Ltd kukutanisha Tasisi na Asasi za Kifedha hapa nchini katika maonyesho ya Pesa Expo katika Maonyesho yatafanyika mwanzoni...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida
![DSC01201](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01201.jpg)
![DSC01193](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01193.jpg)
10 years ago
VijimamboMAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70 hapa nchini kwa kushirikiana na nchi jirani,...
10 years ago
MichuziTANZANIA HOME EXPO KUFANYA MAONYESHO YA 5 JIJINI DAR
KAMPUNI ya Tanzania Home Expo inatarajia kufanya maonyesho ya bidhaa zake mbalimbali katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,Mei 3o hadi Juni mosi mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Home Expo,Zenno Ngowi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO leo jijini Dar es Salaam.
Ngowi amesema kuwa katika maonyesho hayo ya matano ,Wananchi wajitokeze kwa wingi ili kujua nini...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Cv3eTSKLF9I/VQhI3LLJeUI/AAAAAAAACAk/TH2gWsxnAYE/s72-c/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
Muswada wa taasisi za kifedha waja
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema serikali itapeleka bungeni muswada wa sheria ambao utawawezesha wananchi kuanzisha taasisi za kifedha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cv3eTSKLF9I/VQhI3LLJeUI/AAAAAAAACAk/TH2gWsxnAYE/s1600/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
Mwigulu alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Igunga, Dk. Dalaly Kafumu, aliyetaka kujua lini serikali itawawezesha wakazi wa Igunga kuanzisha taasisi za kifedha.Mwigulu alisema muswada huo utaandaliwa na kupelekwa bungeni wakati wowote kuanzia sasa.Katika swali la msingi, Dk. Kafumu alitaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
Taasisi za kifedha zashauri kupunguza riba
![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PawhFJeehdA/VFdGtskixAI/AAAAAAAGvO8/ae9AjeOT8Yw/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0189OLuvkDk/VFdGti4RuQI/AAAAAAAGvO4/Q_CyeqSnsro/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
Na Kibada Kibada Rukwa.
Waziri wa Uwekezaji na uwezeshaji Dkt Mary Nagu ...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Asilimia 97 ya walimu wanakopa taasisi za kifedha
IMEELEZWA kuwa asilimia 97 ya walimu Tanzania wanakopa katika taasisi mbalimbali za kifedha zinazotoa riba kubwa na kusababisha maisha yao kuwa duni. Utafiti uliofanywa na taasisi inayoshughuka na Utafiti na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iUxn6g1mnuE/U1epjLMz8cI/AAAAAAAFccw/NiZcQ8QoMCI/s72-c/PICHA+MKINDI+3.jpg)
WAKULIMA KUKUTANISHWA NA TAASISI ZA KIFEDHA KWA AJILI YA MAFUNZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-iUxn6g1mnuE/U1epjLMz8cI/AAAAAAAFccw/NiZcQ8QoMCI/s1600/PICHA+MKINDI+3.jpg)
Na Woinde Shizza,Arusha
WAKULIMA na wafanyabiashara za kilimo zaidi ya 500 kanda ya kaskazini mwa Tanzania wanatarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s72-c/blog%2B11.jpg)
NSSF YAKUTANA NA MAAFISA RASILIMALI WATU WA TAASISI ZA KIFEDHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fYnj_wpttpw/U_BMyRKTwgI/AAAAAAABFd4/xUJlnYsorZU/s1600/blog%2B11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2MpG3izoTY/U_BL3esnu0I/AAAAAAABFdc/lAgo3ckmTzQ/s1600/blog%2B6e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ev_AQBJBVww/U_BL7-jIlSI/AAAAAAABFdo/MJ24xA3qfZU/s1600/blog%2B7.jpg)