Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya EAG group, Zenno Ngowi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maonyesho ya tano ya Tanzania Homes Explo yatakayoanza Mei 29 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Hellen Mangore na Ofisa Masoko Mkuu, Richard Ryaganda.  (Picha na Francis Dande) 
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70  hapa nchini kwa kushirikiana  na nchi jirani,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

EAG-GROUP KUFANYA MAONESHO YA HOMES EXPO MLIMANI CITY 29-30 MEI

Mkurugenzi wa Eag-Group, Zenno Ngowi (katikati), akitoa tamko.  Kushoto ni  Ofisa Masoko wa Eag-Group, Helen Mangare (kushoto) na Richard Ryanda. Maofisa wa Homes Expo wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Michuzi

maonesho ya 4 ya Tanzania Homes Expo kuanza Agosti 23 - 24,2014

Mkurugenzi wa Tanzania Homes Expo, Zenno Ngowi  akizungumza na waandishi (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam leo kuhusu Uzinduzi wa maonesho ya 4 ya Tanzania Homes Expo na EAG Group Ltd yatakayofanyika Dar es Salaam kuanzia Agosti 23-24 mwaka huu. Kushoto ni Meneja Biashara,Mathew Gugai. (Picha Francis Dande)

 

10 years ago

GPL

MAONESHO YA 5 YA HOMES EXPO YAENDELEA MLIMANI CITY

Sehemu ya Mapokezi ya Maonesho ya Tanzania Home Expo. Mmoja wa wahudumu wa maonesho ya Biashara (kushoto) akielekeza baadhi ya wananchi waliofika katika maonesho hayo.…

 

10 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA PESA EXPO KUFANYIKA SEPTEMBA MWAKA HUU.

Mkurugenzi wa kampuni Exclusive media, Gody Gervas akizungumza na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Kebbys jijiji Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Qutub Global Ltd,Jeremia Fumbe na kulia ni  Mkurugenzi wa Kampuni ya Exclusive media (T)Ltd ESunday Mashele.


Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

KAMPUNI Exclusive media (T)Ltd ikishirikiana na Qutub Global Ltd kukutanisha Tasisi na Asasi za Kifedha hapa nchini  katika maonyesho ya Pesa Expo katika Maonyesho yatafanyika mwanzoni...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA HOME EXPO KUFANYA MAONYESHO YA 5 JIJINI DAR

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.
KAMPUNI ya Tanzania Home Expo inatarajia kufanya maonyesho ya bidhaa zake  mbalimbali katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,Mei 3o hadi Juni mosi mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Home Expo,Zenno Ngowi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO leo jijini Dar es Salaam.

Ngowi  amesema kuwa katika maonyesho hayo ya  matano ,Wananchi wajitokeze  kwa wingi ili kujua nini...

 

10 years ago

GPL

MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA YA PESA EXPO KUFANYIKA MWEZI SEPTEMBA

Raymond Mhenge Mtaalam wa Biashara za Kimataifa wa Kampuni ya PESAEXPO akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar es salaam wakati alipoelezea kuhusu maonyesho hayo yanayotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa tisa jijini Dar es salaam, kutoka kulia ni Sunday Mashele Mkurugenzi Mwenza Kampuni ya Exclusive Media na Godie Gervas Mkurugenzi wa Exclusive Media Godie Mashelle Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AFUNGUA MAONYESHO YA DAR PROPERTY EXPO


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akikata utepe kufungua maonyesho ya uwekezaji katika majengo yajulikanayo kama Dar Property Expo kwenye ukumbi wa VIP wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Jumamosi Mei 2, 2015. Makampuni na mabenki mbalimb ali yanashiriki kwenye maonyesho hayo
Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakiwapatia maelezo wananchi kuhusu namna wanavyoweza kupata nyumba na jinsi walivyowekeza kwenye majengo waliotembelea banda la Mfuko huo
MKUU wa Mkoa wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Malisili na Utalii azindua maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)

2a

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akipongezana na Balozi Charles Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena Mwisho ni mwa wiki, Maonyesho hayo yatakayohusisha kampuni binafsi, taasisi za kiserikali kama Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na washirika wengine katika sekta hiyo...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)‏

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Razalo Nyalandu akizungumza katika uzinduzi huo wakati alipokuwa akisoma hotuba yake. Wageni waalikwa mbalimbali wakiangalia jinsi mabanda yatakayotumiwa na washiriki wa maonyesho…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani