Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EAG-GROUP KUFANYA MAONESHO YA HOMES EXPO MLIMANI CITY 29-30 MEI

Mkurugenzi wa Eag-Group, Zenno Ngowi (katikati), akitoa tamko.  Kushoto ni  Ofisa Masoko wa Eag-Group, Helen Mangare (kushoto) na Richard Ryanda. Maofisa wa Homes Expo wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAONESHO YA 5 YA HOMES EXPO YAENDELEA MLIMANI CITY

Sehemu ya Mapokezi ya Maonesho ya Tanzania Home Expo. Mmoja wa wahudumu wa maonesho ya Biashara (kushoto) akielekeza baadhi ya wananchi waliofika katika maonesho hayo.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya EAG group, Zenno Ngowi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maonyesho ya tano ya Tanzania Homes Explo yatakayoanza Mei 29 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Hellen Mangore na Ofisa Masoko Mkuu, Richard Ryaganda.  (Picha na Francis Dande) 
.................................................ZAIDI ya Kampuni 70  hapa nchini kwa kushirikiana  na nchi jirani,...

 

11 years ago

Michuzi

maonesho ya 4 ya Tanzania Homes Expo kuanza Agosti 23 - 24,2014

Mkurugenzi wa Tanzania Homes Expo, Zenno Ngowi  akizungumza na waandishi (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam leo kuhusu Uzinduzi wa maonesho ya 4 ya Tanzania Homes Expo na EAG Group Ltd yatakayofanyika Dar es Salaam kuanzia Agosti 23-24 mwaka huu. Kushoto ni Meneja Biashara,Mathew Gugai. (Picha Francis Dande)

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AZINDUA MAONESHO YA 5 YA KAMPUNI YA EAG GROUP LEO JIJINI DAR.

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akikata utepe kuzindua maonyesho ya 5 ya Kampuni ya EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,kutoka kushoto ni Msanifu majengo wa wizara ya Ardhi Julius Ndege na Mkurugenzi mkuu wa EAG group Ltd Imani Kajula. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akipewa maelekezo alipotembelea banda la DEGE Eco Village na  Mkurugenzi  na Afisa Masoko wa DEGE Eco Villag,Ashar Malik katika maonyesho ya 5 ya EAG Group Ltd...

 

10 years ago

GPL

ONESHO LA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO KUFUNGULIWA KESHO MLIMANI CITY

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es jana juu ya kufanyika kwa maonyesho ya utalii yanayoratibiwa na  Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). ONESHO la kimataifa la utalii ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) linafunguliwa rasmi kesho Jumatano  katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City na...

 

10 years ago

Michuzi

DCB YASHIRIKI MAONYESHO YA KAMPUNI YA EAG GROUP

Afisa Masoko wa Benki ya DCB,Hildergard Mehrab akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB,kwenye maonyesho nyumba yaliyoandaliwa Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.Meneja Mikopo wa Benki ya DCB,Godwin Mungulu akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB katika maonyesho nyumba yaliyoandaliwa Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.Baadhi ya wananchi waliohudhulia katikla...

 

11 years ago

GPL

MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...

 

9 years ago

GPL

MAONESHO YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO 2015 YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Mgeni rasmi Dk. Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa maonesho hayo. Maonesho haya ya pili ya Swahili International Tourism Expo 2015 yalipata nafasi ya kutembelewa na Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiwa ndiye mgeni rasmi pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania, Dk. Adelhelm Meru. Maonesho haya yatakayochukua takribani siku tatu mpaka tarehe 03-10-2015 kwa mwaka huu, katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani