ONESHO LA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO KUFUNGULIWA KESHO MLIMANI CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-tX5fCKIIuW0/VCp3wgOWmhI/AAAAAAACr2I/hJq5YDP2Z6A/s1600/expo_022.jpg)
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es jana juu ya kufanyika kwa maonyesho ya utalii yanayoratibiwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). ONESHO la kimataifa la utalii ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) linafunguliwa rasmi kesho Jumatano katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA S!TE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
Tayari maandalizi yote kuelekea ufunguzi wa onesho hilo yamekamilika na kwamba watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuja kujionea vivutio adhimu wa taifa hili.
Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) pamoja na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA SITE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7tGobqDGUtA/VCqIQ1pRQjI/AAAAAAAGmsk/vrbUFzC18Is/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWRkoMq_0Go/VCqGoVynvPI/AAAAAAAGmsU/L62MPY15gto/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),Devota Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu onyesho hilo la kimataifa la utalii ‘Swahili...
9 years ago
MichuziRais Kikwete kuzindua onesho la Utalii la Swahili International Expo
10 years ago
TheCitizen18 Sep
TZ unveils international Swahili tourism expo
9 years ago
GPLMAONESHO YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO 2015 YAZINDULIWA KWA KISHINDO
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Dkt . Gharib Bilal atembelea Banda la Fastjet maonesho Swahili International Tourism Expo (S!TE)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.
Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal wakati uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana. Pembeni ni Afisa...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Waziri wa Malisili na Utalii azindua maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akipongezana na Balozi Charles Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena Mwisho ni mwa wiki, Maonyesho hayo yatakayohusisha kampuni binafsi, taasisi za kiserikali kama Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na washirika wengine katika sekta hiyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/4a1.jpg?width=650)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)
10 years ago
IPPmedia18 Sep
Dar to host Swahili International Tour Expo slotted for next month
IPPmedia
IPPmedia
In a move aimed at promoting domestic tourism, Tanzania Tourist Board (TTB) is to host the first ever Swahili International Tour Expo in Dar es Salaam. The Expo though targeting common wananchi is also expected to bring together local as well as ...