Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ unveils international Swahili tourism expo

In efforts to market tourism, the country’s largest foreign exchange earner, Tanzania Tourist Board has initiated Swahili International Tourism Expo (S!TE) to be held annually.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ONESHO LA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO KUFUNGULIWA KESHO MLIMANI CITY

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es jana juu ya kufanyika kwa maonyesho ya utalii yanayoratibiwa na  Bodi ya Utalii Tanzania (TTB). ONESHO la kimataifa la utalii ‘Swahili International Tourism Expo’ (SITE) linaloandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) linafunguliwa rasmi kesho Jumatano  katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City na...

 

9 years ago

GPL

MAONESHO YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO 2015 YAZINDULIWA KWA KISHINDO

Mgeni rasmi Dk. Gharib Bilal akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa maonesho hayo. Maonesho haya ya pili ya Swahili International Tourism Expo 2015 yalipata nafasi ya kutembelewa na Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiwa ndiye mgeni rasmi pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania, Dk. Adelhelm Meru. Maonesho haya yatakayochukua takribani siku tatu mpaka tarehe 03-10-2015 kwa mwaka huu, katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt . Gharib Bilal atembelea Banda la Fastjet maonesho Swahili International Tourism Expo (S!TE)

Utambulisho

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.

IMG_2137

bilal,kbati, lucy

Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal wakati uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana. Pembeni ni Afisa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Malisili na Utalii azindua maonyesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE)

2a

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akipongezana na Balozi Charles Sanga Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB mara baada ya kuzindua rasmi SITE ya Maonyesho ya Kimataifa Utalii ya Tanzania yanayojulikana kama Swahili International Tourism Expo (SITE) kwenye hoeli ya Serena Mwisho ni mwa wiki, Maonyesho hayo yatakayohusisha kampuni binafsi, taasisi za kiserikali kama Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) pamoja na washirika wengine katika sekta hiyo...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)‏

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Razalo Nyalandu akizungumza katika uzinduzi huo wakati alipokuwa akisoma hotuba yake. Wageni waalikwa mbalimbali wakiangalia jinsi mabanda yatakayotumiwa na washiriki wa maonyesho…

 

10 years ago

IPPmedia

Dar to host Swahili International Tour Expo slotted for next month


IPPmedia
Dar to host Swahili International Tour Expo slotted for next month
IPPmedia
In a move aimed at promoting domestic tourism, Tanzania Tourist Board (TTB) is to host the first ever Swahili International Tour Expo in Dar es Salaam. The Expo though targeting common wananchi is also expected to bring together local as well as ...

 

9 years ago

Michuzi

Rais Kikwete kuzindua onesho la Utalii la Swahili International Expo

 Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Devotha Mdachi (kulia) akizungumza jana Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya onesho la Swahili International Expo linalotarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia Oktoba Mosi hadi 3, mwaka huu katika ukumbi wa mlimani City Dar es Salaam.Kushoto ni Meneja wa kampuni ya fastjet Jimmy Kibati kama mmoja wa wadhamini.Mratibu wa onesho la Swahili International Expo Philip Chitaunga (kulia) akizungumza Dar es Salaam jana kuhusu onesho hilo...

 

10 years ago

Michuzi

TANAPA, MAMLAKA YA NGORONGORO NA SHIRIKA LA NDEGE LA ETHIOPIA WADHAMINI WAKUU ‘SWAHILI INTERNATIOANL TOURISM EXPO’

 Na: Geofrey Tengeneza
Shirika la hifadhi la taifa (TANAPA) kwa kushirikiana na mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro pamoja na shirika la ndege la Ethiopia wamedhamini onesho la kimataifa ya utalii lijulikanalo kama ‘Swahili International Tourism Expo’ (S! TE).
Taasisi hizo tatu zinakuwa ndio wadhamini wakuu wa maonesho hayo ya kimataifa ya utalii ya kwanza Tanzania yanayoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Pure Grit Project and Exhibition...

 

10 years ago

Coastweek

Tanzania set to hold first Swahili international tourism exhibition


IPPmedia
Tanzania set to hold first Swahili international tourism exhibition
Coastweek
DAR ES SALAAM (Xinhua) -- The Tanzania Tourist Board (TTB) has announced that it will organize its first Swahili international tourism expo aimed at boosting and marketing the East African nation's tourism. Devota Mdachi, TTB acting managing director, ...
Dar to host Swahili International Tour Expo slotted for next monthIPPmedia

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani