Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DCB YASHIRIKI MAONYESHO YA KAMPUNI YA EAG GROUP

Afisa Masoko wa Benki ya DCB,Hildergard Mehrab akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB,kwenye maonyesho nyumba yaliyoandaliwa Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.Meneja Mikopo wa Benki ya DCB,Godwin Mungulu akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB katika maonyesho nyumba yaliyoandaliwa Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.Baadhi ya wananchi waliohudhulia katikla...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AZINDUA MAONESHO YA 5 YA KAMPUNI YA EAG GROUP LEO JIJINI DAR.

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akikata utepe kuzindua maonyesho ya 5 ya Kampuni ya EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,kutoka kushoto ni Msanifu majengo wa wizara ya Ardhi Julius Ndege na Mkurugenzi mkuu wa EAG group Ltd Imani Kajula. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akipewa maelekezo alipotembelea banda la DEGE Eco Village na  Mkurugenzi  na Afisa Masoko wa DEGE Eco Villag,Ashar Malik katika maonyesho ya 5 ya EAG Group Ltd...

 

10 years ago

GPL

EAG-GROUP KUFANYA MAONESHO YA HOMES EXPO MLIMANI CITY 29-30 MEI

Mkurugenzi wa Eag-Group, Zenno Ngowi (katikati), akitoa tamko.  Kushoto ni  Ofisa Masoko wa Eag-Group, Helen Mangare (kushoto) na Richard Ryanda. Maofisa wa Homes Expo wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Dewji Blog

DCB Benki watambulisha DCB Jirani na DCB Mobile Sabasaba

IMG_0003

Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.

IMG_00081

Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.

IMG_0012

Baadhi ya wananchi wakitembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu...

 

10 years ago

Michuzi

DCB BENKI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

Afisa masoko wa  DCB Benki Hildegard Mehrab  akiwa akitoa elimu juu ya huduma wanazozitolewa  pamoja na Mikopo ya Nyumba Mikopo y Biashara,Mikopo ya wafanya kazi,  pamoja na mikopo ya Vikundi  pia wanafungua  Akaunti za akauti ya  Akiba  akauti ya watoto na  akauti ya kampuni akauti ya kikundi.Afisa mkaguzi wa DCB benki., Mariam Migetto, akitoa elimu juu ya huduma wanazozitowa DCB benki na Mikopo ya Nyumba, Mikopo y Biashara, Mikopo ya wafanya kazi  pamoja na mikopo ya Vikundi ...

 

5 years ago

Michuzi

DCB FURSA MPYA YA ELIMU KWA WATANZANIA HADI CHUO KIKUU KUPITIA AKAUNTI ZA DCB SKONGA NA DCB MINI SKONGA.

Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Biashara ya DCB, James Ngaluko (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa na Mkurugenzi wa Masoko, Rahma Ngassa (kulia), wakati wa uzinduzi wa DCB Skonga jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha ya Maktaba)

=======  ========   ========
KATIKA kuhakikisha wazazi na walezi wanakuwa na uhakika wa elimu ya watoto wao, Benki ya Biashara ya DCB imeongeza fursa zaidi kupitia akaunti yake DCB SKONGA kwa kuongeza DCB MINI SKONGA Ili kuunga mkono...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini

A

Mkurugenzi wa kampuni  ya Frontline Porter Novelli  Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.

B

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.

C

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAJASIRIAMALI KANDA YA KATI

Meneja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Kigoma, Josephat Komba akimuelezea Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene huduma mbalimbali zitolewazo na NSSF kwenye banda lao wakati wa maonesho ya wajasiriamali Kanda ya Kati. Banda la NSSF linavyooneka kwenye maonesho ya Wajasiriamali wa Kanda ya Kati yanayofanyika  Maofisa wa NSSF walioshiriki Kwenye Maonesho ya wajasiriamali kanda ya Kati wakiwa na Meneja wa Daktari wa NSSF akimpima Shinikizo la Damu...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki kwenye maonyesho ya kinamama, UN, Geneva

Wiki hii, Ubalozi ukiongozwa na Mama Balozi Rose Mero umeshiriki kwenye maonyesho ya UN ya kina mama, Geneva (United Nations Women's Guild 2014), yenye lengo la kukusanya pesa za kusaidia miradi ya kuendeleza watoto wenye mahitaji mbalimbali duniani kote.
Kwenye maonyesho hayo, banda la Tanzania lilijumuisha bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kutengenezwa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kahawa, majani ya chai, khanga, vitenge, vinyago, korosho n.k
Watu mbalimbali walipata nafasi ya...

 

11 years ago

Michuzi

PSPF yashiriki katika maonyesho ya TCU jijini Dar

Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Rahma Ngassa (Kulia), akiwaeleza wanafunzi hawa jinsi ya kujaza fomu za kujiunga na uanachama wa Mfuko huo, wakati wa maonyesho ya vyuo vya elimu ya juu yaliyoandaliwa na Tume ya vyuo vikuu (TCU), kwa kushirikiana na wizara ya elimu na mafunzo yan ufundi stadi. Maonyesho hayo ya siku tatu yamefunguliwa jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Frederick Mossi (Kushoto) na Afisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani