Tanzania yashiriki kwenye maonyesho ya kinamama, UN, Geneva
Wiki hii, Ubalozi ukiongozwa na Mama Balozi Rose Mero umeshiriki kwenye maonyesho ya UN ya kina mama, Geneva (United Nations Women's Guild 2014), yenye lengo la kukusanya pesa za kusaidia miradi ya kuendeleza watoto wenye mahitaji mbalimbali duniani kote.
Kwenye maonyesho hayo, banda la Tanzania lilijumuisha bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kutengenezwa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kahawa, majani ya chai, khanga, vitenge, vinyago, korosho n.k
Watu mbalimbali walipata nafasi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI
Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto,...
10 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHIRIKI MAONYESHO YA 18 YA WIKI YA MAZIWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s72-c/IMG-20140827-WA0001.jpg)
Rais Armando Guebuze Wa Msumbiji afungua Maonyesho Biashara ya Kimataifa Mjinj Maputo,Tanzania yashiriki vyema
![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s1600/IMG-20140827-WA0001.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0s8imadW9h8/VAEPtdBUVcI/AAAAAAABHbI/2BP5cghsBJc/s72-c/Blog%2B6.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAJASIRIAMALI KANDA YA KATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0s8imadW9h8/VAEPtdBUVcI/AAAAAAABHbI/2BP5cghsBJc/s1600/Blog%2B6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6pe3_YAb758/VAEPdZ83b2I/AAAAAAABHak/rgYhwFhzggs/s1600/Blog%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DDTqDpleojU/VAEPdBhAY6I/AAAAAAABHao/BgTPhBuUxzI/s1600/Blog%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fnu5i-6ikLU/VAEPdUlTH0I/AAAAAAABHag/Rjd7rMXU0IQ/s1600/Blog%2B3.jpg)
10 years ago
MichuziDCB YASHIRIKI MAONYESHO YA KAMPUNI YA EAG GROUP
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s72-c/PSPF1.jpg)
PSPF yashiriki katika maonyesho ya TCU jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s1600/PSPF1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YFUl7Tmymdw/U3zGtqOaMFI/AAAAAAAFkL4/gfYEHmUR0EM/s1600/PSPF2.jpg)
11 years ago
Michuzi06 Aug
PSPF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI KWA MAFANIKIO
BALOZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, MRISHO MPOTO “MJOMBA” AKIFURAHIA JAMBO NA MENEJA MASOKO WA PSPF, RAHMA NGASSA WAKATI AKITOA BURUDANI KWENYE MAONYESHO YA WAKULIMA NANENANE MKOANI LINDI.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10