NSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAJASIRIAMALI KANDA YA KATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0s8imadW9h8/VAEPtdBUVcI/AAAAAAABHbI/2BP5cghsBJc/s72-c/Blog%2B6.jpg)
Meneja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Kigoma, Josephat Komba akimuelezea Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene huduma mbalimbali zitolewazo na NSSF kwenye banda lao wakati wa maonesho ya wajasiriamali Kanda ya Kati.
Banda la NSSF linavyooneka kwenye maonesho ya Wajasiriamali wa Kanda ya Kati yanayofanyika
Maofisa wa NSSF walioshiriki Kwenye Maonesho ya wajasiriamali kanda ya Kati wakiwa na Meneja wa
Daktari wa NSSF akimpima Shinikizo la Damu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida
![DSC01201](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01201.jpg)
![DSC01193](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01193.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s72-c/magori-1.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA WAJASIRIAMALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-dDxkSD_hD1Y/Vl8WE1Nk-fI/AAAAAAABlHg/S9RZnsYtdNc/s640/magori-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XU1qO1MvV30/Vl8WhXS2RNI/AAAAAAABlHo/hMwQ6FI-_gE/s640/nssf%2B1.jpg)
9 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ABITAT JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VkEAFT2Lqac/U-SHgOQcrhI/AAAAAAAF93g/4zreYTNcIQY/s72-c/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(8).jpg)
Katibu Mkuu kiongozi katika maonyesho ya Nane nane kanda ya kati Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkEAFT2Lqac/U-SHgOQcrhI/AAAAAAAF93g/4zreYTNcIQY/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LnzYgndBy2Q/U-SHaVuayCI/AAAAAAAF92o/7ip9X80_Gcc/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(10).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jzbr9Hw43EA/U-SHbPUZGzI/AAAAAAAF920/sVQMt4cx1dY/s1600/Maonyesho+ya+Kilimo+Nane+Nane+Kanda+ya+kati+katika+Viwanja+vya+NZUGUNI+DODOMA-2014+(11).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42J_0TeU7nw/Vb2R_cnDOgI/AAAAAAABedc/Q6H6_Ru09Lo/s72-c/MAAFISA%2BGAZETI.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE LINDI
11 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-TANGA
10 years ago
MichuziTanzania yashiriki kwenye maonyesho ya kinamama, UN, Geneva
Kwenye maonyesho hayo, banda la Tanzania lilijumuisha bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kutengenezwa nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na kahawa, majani ya chai, khanga, vitenge, vinyago, korosho n.k
Watu mbalimbali walipata nafasi ya...
10 years ago
MichuziDCB YASHIRIKI MAONYESHO YA KAMPUNI YA EAG GROUP
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Makampuni 37 yashiriki maonyesho ya siku ya Malaria nchini
Mkurugenzi wa kampuni ya Frontline Porter Novelli Bi. Irene Kiwia akimkaribisha Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Suleiman Rashid kwenye maonyesho ya siku ya malaria yaliyofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid alipotembelea banda la malaria safe lililokuwa linasimamiwa na wafanyakazi wa Johnhopkins University kwenye maonyesho ya siku ya Malaria.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Seif Suleiman Rashid...