DCB BENKI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Afisa masoko wa DCB Benki Hildegard Mehrab akiwa akitoa elimu juu ya huduma wanazozitolewa pamoja na Mikopo ya Nyumba Mikopo y Biashara,Mikopo ya wafanya kazi, pamoja na mikopo ya Vikundi pia wanafungua Akaunti za akauti ya Akiba akauti ya watoto na akauti ya kampuni akauti ya kikundi.Afisa mkaguzi wa DCB benki., Mariam Migetto, akitoa elimu juu ya huduma wanazozitowa DCB benki na Mikopo ya Nyumba, Mikopo y Biashara, Mikopo ya wafanya kazi pamoja na mikopo ya Vikundi ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
DCB Benki watambulisha DCB Jirani na DCB Mobile Sabasaba
Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.
Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba wakipata maelezo juu ya huduma mbalimbali za DCB Commercial Bank.
Baadhi ya wananchi wakitembelea Banda la DCB Commercial Bank kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAVUTIA WATU WENGI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba, Ofisa wa benki hiyo, John Titus amesema kuwa banda lao linashughulika na kufungua akaunti na kumuhudumia mteja.
Aliongeza kuwa Benki ya CRDB pia imeweka Mobile Branch ambayo hufanya kazi zote zinazofanywa na benki hiyo ikiwemo huduma za kuweka fedha na kutoa.
Titus alisema pia...
11 years ago
MichuziBANDA LA BENKI KUU LAWAVUTIA WENGI KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
MichuziShirika la Posta Tanzania katika maonyesho ya Sabasaba
11 years ago
GPLMICHUZI AFURAHISHWA NA HUDUMA ZA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
MichuziPSPF katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam a.k.a Sabasaba
11 years ago
MichuziPPF WAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WAKATI KATIKA MAONYESHO YA 38 YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Shamrashamra za manunuzi ya bidhaa katika banda la MeTL Group maonyesho ya Sabasaba
Ofisa Mtendaji wa Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack, akisikiliza maoni kutoka kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Kampuni ya MO Assurance lililopo ndani ya banda la MeTL Group katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO, (MO ASSURANCE), Ravinshankar Venkatrama (kulia) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo...
10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAWAPA KIPAUMBELE WA WAJASIRIMALI KATIKA MAONESHO YA SABA SABA