Shirika la Posta Tanzania katika maonyesho ya Sabasaba
Baadhi ya Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya banda lao,kwenye Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (Sabasaba).
Afisa Masoko wa Shirika la Posta Tanzania,Happy Iteba (kushoto) akitoa maelezo kwa wateja waliotembelea banda la Posta kwenye maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam leo.
Maafisa Masoko wa Shirika la Posta Tanzania Happy Iteba na James Musyaji wakiwahudumia wateja waliotembelea banda hilo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LANG'ARA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA SUMAJKT KUSHIRIKI MAONYESHO YA 39 YA KIMATAIFA YA SABASABA.
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh. Kamala atembelea banda PPF Katika maonyesho ya Sabasaba
Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni, Lulu Mengele (kushoto) akimkaribisha Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Mh Dodorius Kamala (kulia) wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya Sabasaba yaliyomalizika jana.
Afisa Mafao wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Hellen Mollel akitoa maelezo kwa Balozi wa Tanzania nchini Ubeligiji, Mh Kamala juu ya wanachama wanavyonufaika na mafao wakati wanapostaafu kazini, Wa kwanza Kushoto ni Meneja Uhusiano na Masoko, Lulu Mengele.
Afisa...
11 years ago
GPLBALOZI WA TANZANIA NCHINI UBELIGIJI, MH. KAMALA ATEMBELEA BANDA LA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
MichuziDCB BENKI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
MichuziShirika la Posta Tanzania (TPC) lawatunuku Wafanyakazi wake bora
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fXN_c5dJraM/U7PKebR5KUI/AAAAAAAFuK0/OXMt5hIWU20/s72-c/b1.jpg)
PSPF katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam a.k.a Sabasaba
![](http://1.bp.blogspot.com/-fXN_c5dJraM/U7PKebR5KUI/AAAAAAAFuK0/OXMt5hIWU20/s1600/b1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AlOMYXzZOFA/U7PKeWvFtOI/AAAAAAAFuKs/2i4nilh7ptQ/s1600/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jFOM4_XTWWY/U7PKeX9cX8I/AAAAAAAFuKo/aXpHq5V1F_U/s1600/b3.jpg)
11 years ago
GPLMICHUZI AFURAHISHWA NA HUDUMA ZA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAVUTIA WATU WENGI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba, Ofisa wa benki hiyo, John Titus amesema kuwa banda lao linashughulika na kufungua akaunti na kumuhudumia mteja.
Aliongeza kuwa Benki ya CRDB pia imeweka Mobile Branch ambayo hufanya kazi zote zinazofanywa na benki hiyo ikiwemo huduma za kuweka fedha na kutoa.
Titus alisema pia...