Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONYESHO YA PESA EXPO KUFANYIKA SEPTEMBA MWAKA HUU.

Mkurugenzi wa kampuni Exclusive media, Gody Gervas akizungumza na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Kebbys jijiji Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Qutub Global Ltd,Jeremia Fumbe na kulia ni  Mkurugenzi wa Kampuni ya Exclusive media (T)Ltd ESunday Mashele.


Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

KAMPUNI Exclusive media (T)Ltd ikishirikiana na Qutub Global Ltd kukutanisha Tasisi na Asasi za Kifedha hapa nchini  katika maonyesho ya Pesa Expo katika Maonyesho yatafanyika mwanzoni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA YA PESA EXPO KUFANYIKA MWEZI SEPTEMBA

Raymond Mhenge Mtaalam wa Biashara za Kimataifa wa Kampuni ya PESAEXPO akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar es salaam wakati alipoelezea kuhusu maonyesho hayo yanayotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa tisa jijini Dar es salaam, kutoka kulia ni Sunday Mashele Mkurugenzi Mwenza Kampuni ya Exclusive Media na Godie Gervas Mkurugenzi wa Exclusive Media Godie Mashelle Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida

DSC01194

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari  juu  ya kufanyika kwa maonesho ya SIDO kanda ya kati kuanzia Agosti 26 hadi septemba mosi mwaka huu mjini Singida. SIDO kanda ya kati inajumuisha mikoa ya Singida, Tabora na Kigoma.Katika maonesho hayo, bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo. DSC01201 DSC01193 Baadhi ya maafisa wa  serikali na SIDO mkoani hapa wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu

Filamu mpya ya Staa wa Bongo Movie,Elizabeth Michael ‘Lulu’ inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Septemba mwaka huu.

Filamu hiyo iliyotumia gharama kubwa itazinduliwa mara tatu ikipendezeshwa na ‘Red Carpet’ kwenye sinema,kwa waandishi wa habari na kwa mashabiki wa msanii huyo.

Cloudsfm.com

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya kumtafuta dereva bora wa mwaka wa kuendesha Scania kufanyika Septemba 13,2014

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Scania Tanzania, Anders Friberg(wa pili kulia),Meneja mauzo wa Scania Tanzani, Steve Miller(wa pili kushoto) na Afisa Mauzo wa Scania Tanzania, Kisali Nnyari wakiwa wamebeba vikombe vitakavyotolewa kama zawadi wakati wa fainali za kumtafuta dereva bora wa mwaka wa kuendesha Scania katika shindano litakalofanyika Septemba 13 mwaka huu viwanja vya Tanganyika Perkasi jijin Dar es Salaam.Kulia ni Afisa Masoko wa Scania Tanzania, Margaret Legga. Afisa Mauzo...

 

10 years ago

Michuzi

RASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU

Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo.
RASIMU ya Katiba  Mpya  iliyopendekezwa inatarajiwa  kuwasilishwa  katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi. 
Hata hivyo Katibu...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

10 years ago

Michuzi

TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU

TUZO za Wanamichezo Bora wa Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) zinatarajiwa kufanyika Desemba 12 mwaka huu, huku Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) Group Limited ikijitokeza kuwa mdhamini mshiriki wa tuzo hizo kwa kutoa Sh. Milioni 10. Akizungumza na waandishi wa habari katika mgahawa wa City Sports Lounge, Dar es Salaam katika hafla ya kutangaza udhamini huo jana, Meneja Mkuu wa SSB Limited, Said Muhammad Said alisema wameamua kudhamini tuzo...

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU

Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando. UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), utafanyika Februari 16 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Uamuzi huo ulifikiwa na kikao cha Kamati ya Utendaji ya TASWA  kilichofanyika Dar es Salaam jana kujadili masuala mbalimbali ya chama na waandishi wa habari za michezo kwa ujumla. Kikao kilikubaliana kuwa uchaguzi ufanyike kwa katiba ya zamani, kwani mchakato wa...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

WANANCHI jitokezeni katika kushiriki  tamasha la Bagamoyo historical Marathoni linatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu tamasha litakalo fanyika Wilaya Bagamoyo.


 Hayo yamesemwa na  Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.


Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu  litakuwa na kauli mbiu ya  “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani