Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s72-c/UN2.jpg)
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana,Utramaduni na Michezo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Michezo na Burudani kuelekea maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Bw. Leonard Thadeo wakwanza kulia akiongoza tamasha la mazoezi ya viungo kwa Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma mapema wikiendi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam,Tamasha hilo ni muendelezo wa program mbalimbali za kuadhimisha Muungano kwa njia ya Mchezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Apr
MH SAMIA SULUHU AZINDUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
![bl4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/bl4.png)
![bl5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/bl5.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QpehaBVsXV8/VTz3Cktu2uI/AAAAAAADkyc/7h5VvYQYyQI/s1600/4.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YHgXNr2UuDc/VYP_LkTQJ0I/AAAAAAAHhbg/EkZF1FEZmcw/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Watumishi wa umma kupata mafunzo ya maafa ya sehemu za kazi
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Zanzibar ndani ya Tanganyika au muungano?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoN8YDKlZJCEmm3Jn6RyoMSHyIUYkLZumlT7*MfR1CitI0vOwDAGDGMdxUpww1nXBrAXkoCI8AF6eKTwK5NX0X4*/muungano.jpg?width=650)
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WATIMIZA MIAKA 50
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fe8EAa9gfc/VT3KDu_c2fI/AAAAAAAHTdI/2fLtx_WoDK0/s72-c/Untitled4.png)
SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UBALOZINI OTTAWA - CANADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fe8EAa9gfc/VT3KDu_c2fI/AAAAAAAHTdI/2fLtx_WoDK0/s1600/Untitled4.png)
Katika salamu zake Mhe. Zoka amewataka watanzania wote waishio nje ya nchi kuyasoma mapendekezo ya katiba mpya kiufasaha na kwamba katika katiba hiyo wao wamepewa hadhi...
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Heri ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, tuuenzi na tuulinde
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama ishara rasmi ya kuunganisha nchi hizo mbili miaka 51 iliyopita. Modewjiblog inaungana na Watanzania duniani kote kusherehekea siku hii adhimu kwa kuwatakia Happy Muungano Day!
Hayati Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Sheikh Abeid Aman Karume wakibadilishana hati za muungano.