SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UBALOZINI OTTAWA - CANADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fe8EAa9gfc/VT3KDu_c2fI/AAAAAAAHTdI/2fLtx_WoDK0/s72-c/Untitled4.png)
Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack Zoka anatoa salamu zake za muungano kwa watanzania wote na hasa wanaoishi nje ya Tanzania kwa kuwataka watumie fursa hiyo kuimarisha utanzania wao na kuboresha maisha ya watanzania wote hasa katika Nyanja za kisiasa na kiuchumi tunapoelekea katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
Katika salamu zake Mhe. Zoka amewataka watanzania wote waishio nje ya nchi kuyasoma mapendekezo ya katiba mpya kiufasaha na kwamba katika katiba hiyo wao wamepewa hadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Apr
SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANA MJINI ROMA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QpehaBVsXV8/VTz3Cktu2uI/AAAAAAADkyc/7h5VvYQYyQI/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Zanzibar ndani ya Tanganyika au muungano?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoN8YDKlZJCEmm3Jn6RyoMSHyIUYkLZumlT7*MfR1CitI0vOwDAGDGMdxUpww1nXBrAXkoCI8AF6eKTwK5NX0X4*/muungano.jpg?width=650)
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WATIMIZA MIAKA 50
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Heri ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, tuuenzi na tuulinde
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama ishara rasmi ya kuunganisha nchi hizo mbili miaka 51 iliyopita. Modewjiblog inaungana na Watanzania duniani kote kusherehekea siku hii adhimu kwa kuwatakia Happy Muungano Day!
Hayati Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Sheikh Abeid Aman Karume wakibadilishana hati za muungano.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R7LVljGZyDY/U9tGIsp64mI/AAAAAAAF8Jo/MWzQjlu7uEY/s72-c/unnamed+(10).jpg)