SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Davis Mwamunyange
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake wa Serikali, wakisimama kutoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTASWIRA YA MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MUUNGANO UWANJA WA UHURU JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
11 years ago
Michuzi26 Apr
10 years ago
Vijimambo24 Apr
MH SAMIA SULUHU AZINDUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
![bl4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/bl4.png)
![bl5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/bl5.png)
11 years ago
Michuzi28 Apr
SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANA MJINI ROMA
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
TZToday27 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ev9d9hSEvSs/U2Jo7gQAtfI/AAAAAAAFebo/YZFYTW7bUGU/s72-c/m4.jpg)
TASWIRA ZA SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ev9d9hSEvSs/U2Jo7gQAtfI/AAAAAAAFebo/YZFYTW7bUGU/s1600/m4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zcz8edeMi6o/U2Jo7cCGZTI/AAAAAAAFebk/WINlgn5rGgo/s1600/unnamed.jpg)