MH SAMIA SULUHU AZINDUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Saluhu (katikati), akizindua maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni, jijini Dar es Salaam leo. (Picha na OMR)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Suluhu, akihutubia katika Uzinduzi wa Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukukmbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QpehaBVsXV8/VTz3Cktu2uI/AAAAAAADkyc/7h5VvYQYyQI/s1600/4.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoN8YDKlZJCEmm3Jn6RyoMSHyIUYkLZumlT7*MfR1CitI0vOwDAGDGMdxUpww1nXBrAXkoCI8AF6eKTwK5NX0X4*/muungano.jpg?width=650)
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WATIMIZA MIAKA 50
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s72-c/UN2.jpg)
Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s1600/UN2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Heri ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, tuuenzi na tuulinde
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama ishara rasmi ya kuunganisha nchi hizo mbili miaka 51 iliyopita. Modewjiblog inaungana na Watanzania duniani kote kusherehekea siku hii adhimu kwa kuwatakia Happy Muungano Day!
Hayati Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Sheikh Abeid Aman Karume wakibadilishana hati za muungano.
11 years ago
Michuzi16 May
11 years ago
Michuzi28 Apr
SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANA MJINI ROMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3sPl-032OjCrk4bLbgXVbclHEgVZW57Ljw3BH7FY6TUqUTWNR2Cvzux48GObPkefBGl036pVwv-*0W*0l7XzyV/ngomaafricawordpress111.jpg?width=650)
SALAMU ZA HERI YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KUTOKA NGOMA AFRICA BAND
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...