Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Apr
BALOZI AWAASA WANA DMV KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO
![Embassy pics 016](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-016.jpg?w=714)
![Embassy pics 037](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-037.jpg?w=714)
![Embassy pics 018](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-018.jpg?w=714)
![Embassy pics 007](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/04/embassy-pics-007.jpg?w=714)
11 years ago
Michuzi28 Apr
SHEREHE YA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANA MJINI ROMA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QpehaBVsXV8/VTz3Cktu2uI/AAAAAAADkyc/7h5VvYQYyQI/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fe8EAa9gfc/VT3KDu_c2fI/AAAAAAAHTdI/2fLtx_WoDK0/s72-c/Untitled4.png)
SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UBALOZINI OTTAWA - CANADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fe8EAa9gfc/VT3KDu_c2fI/AAAAAAAHTdI/2fLtx_WoDK0/s1600/Untitled4.png)
Katika salamu zake Mhe. Zoka amewataka watanzania wote waishio nje ya nchi kuyasoma mapendekezo ya katiba mpya kiufasaha na kwamba katika katiba hiyo wao wamepewa hadhi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RloXsfvBqAs/Uz8VwrInX6I/AAAAAAAFYps/yuNN9zI69MI/s72-c/unnamed+(22).jpg)
maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zitazofanyika Dubai april 14, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-RloXsfvBqAs/Uz8VwrInX6I/AAAAAAAFYps/yuNN9zI69MI/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Habarileo26 Apr
Leo ni miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
RAIS Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo atawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ewtvLniYpoN8YDKlZJCEmm3Jn6RyoMSHyIUYkLZumlT7*MfR1CitI0vOwDAGDGMdxUpww1nXBrAXkoCI8AF6eKTwK5NX0X4*/muungano.jpg?width=650)
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR WATIMIZA MIAKA 50
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sgFd1Cmt1V8/VmlQ1bxGZBI/AAAAAAAAJT0/QmmoJKtuBfQ/s72-c/Makala%2Bna%2Busafi%2B3.jpg)
RC Makalla awashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kufanya usafi
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla, amewapongeza wakazi na wananchi wake katika mkoa huo kwa kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli la kufanya usafi na kutunza mazingira katika siku ya Uhuru, 9 Desemba iliyoadhimishwa jana nchini kote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-sgFd1Cmt1V8/VmlQ1bxGZBI/AAAAAAAAJT0/QmmoJKtuBfQ/s640/Makala%2Bna%2Busafi%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Heri ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, tuuenzi na tuulinde
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama ishara rasmi ya kuunganisha nchi hizo mbili miaka 51 iliyopita. Modewjiblog inaungana na Watanzania duniani kote kusherehekea siku hii adhimu kwa kuwatakia Happy Muungano Day!
Hayati Mwalimu Julius Nyerere (kushoto) na Sheikh Abeid Aman Karume wakibadilishana hati za muungano.