maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zitazofanyika Dubai april 14, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-RloXsfvBqAs/Uz8VwrInX6I/AAAAAAAFYps/yuNN9zI69MI/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mhe. Omar Mjenga (shati la Mandela katikati), Balozi Mdogo wa Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa jumuiya ya watanzania waishio UAE.
Kikao hicho kilichohudhuriwa kwa wingi na vijana wa Jumuiya kilijadili hatua za mwisho za maandalizi ya sherehe ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano zitakazofanyika Le Meridien Hotel, Dubai.
Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu na Mtukufu Ahmed Bin Saeed Al Maktoum, Rais wa Shirika la Ndege la Emirates na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sPAM-Aqeg-0/UyhseY3Wi0I/AAAAAAAFUm8/HiKgMbPs51c/s72-c/mj1.jpg)
maandalizi ya siku ya Taifa ( National Day) kusherehekea miaka 50 ya Muungano mjini Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPAM-Aqeg-0/UyhseY3Wi0I/AAAAAAAFUm8/HiKgMbPs51c/s1600/mj1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t1xTQVyj6FQ/UyhseaoLPNI/AAAAAAAFUm4/QxsIfQ7UAkQ/s1600/mj2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96h2_dTws54/VTwMaCGbilI/AAAAAAAHTS0/mcQviN2yNZ4/s72-c/Attachment-1.jpeg)
Mhe Lowassa katika mkesha wa sherehe za miaka 51 ya muungano mjini Dubai leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-96h2_dTws54/VTwMaCGbilI/AAAAAAAHTS0/mcQviN2yNZ4/s1600/Attachment-1.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KaDGSybY-zU/U1oofDFrlsI/AAAAAAAAG9M/OYlJN_xtq7M/s72-c/Balozi+Mulamula+press.jpg)
Maandalizi ya sherehe za Muungano Washington DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-KaDGSybY-zU/U1oofDFrlsI/AAAAAAAAG9M/OYlJN_xtq7M/s1600/Balozi+Mulamula+press.jpg)
Photo: Sunday Shomari
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SKrp00xKnv8/U0cYnsjhdGI/AAAAAAAFZ5Q/xhz2nPe1jMg/s72-c/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
TZToday27 Apr
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
CRDB yaipiga jeki ubalozi wa Tanzania Marekani kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano