maandalizi ya siku ya Taifa ( National Day) kusherehekea miaka 50 ya Muungano mjini Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPAM-Aqeg-0/UyhseY3Wi0I/AAAAAAAFUm8/HiKgMbPs51c/s72-c/mj1.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga, amefanya kikao cha maandalizi ya siku ya Taifa ( National Day) kusherehekea miaka 50 ya Muungano pamoja na uongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio UAE makao yao yakiwa Dubai.
Kushoto ni ndugu Shabir Damji, katibu wa Jumuiya, kati ni Bi Shamira ambaye ni mwenyeji wa sherehe hizo katika Le Meridien Hotel na Mhe Omar Mjenga, mjini Dubai leo. Chini wakipanga namna ya kufanikisha sherehe hizo
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RloXsfvBqAs/Uz8VwrInX6I/AAAAAAAFYps/yuNN9zI69MI/s72-c/unnamed+(22).jpg)
maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya muungano zitazofanyika Dubai april 14, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-RloXsfvBqAs/Uz8VwrInX6I/AAAAAAAFYps/yuNN9zI69MI/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96h2_dTws54/VTwMaCGbilI/AAAAAAAHTS0/mcQviN2yNZ4/s72-c/Attachment-1.jpeg)
Mhe Lowassa katika mkesha wa sherehe za miaka 51 ya muungano mjini Dubai leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-96h2_dTws54/VTwMaCGbilI/AAAAAAAHTS0/mcQviN2yNZ4/s1600/Attachment-1.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SKrp00xKnv8/U0cYnsjhdGI/AAAAAAAFZ5Q/xhz2nPe1jMg/s72-c/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fRfJlnZ3IqA/U0jB_EwuWkI/AAAAAAAFaDs/6ETZ5ykVtbk/s72-c/TANGAZO+-+Muungano+Day+Celebration+-+FOR+blogs_0001.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Maandalizi ya sherehe za miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yakamilika, wananchi waombwa kujitokeza kwa wingi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Maadhimisho ya mwaka huu yatapambwa na Kauli Mbiu isemayo Miaka 51 ya Muungano, Tudumishe Amani Na Umoja, Ipigie Kura ya Ndiyo Katiba inayopendekezwa na Kushiriki Uchaguzi Mkuu.
Askari watakaoshiriki kwenye Gwaride la heshima litakalohusisha vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakiwa wamebeba bendera za Majeshi ya Tanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUADHIMISHA NA KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA MIAKA 25 BAADA YA BEIJING
![](https://1.bp.blogspot.com/-MeYxo0POv10/Xl-rgKaGKzI/AAAAAAALg9c/My39I09HNRkFv5U-E7Ng8-B8HE-Gy0c_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B15.26.11.jpeg)
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cYFIGIRcnow/U1uupYOlF0I/AAAAAAAFdJE/LKpyOmhRpLk/s1600/0L7C0297.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZANOGA UWANJA WA TAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8acHL9UdCJk/U1uupq2TiqI/AAAAAAAFdJI/R0NkoWaX2aQ/s1600/0L7C0298.jpg)
10 years ago
VijimamboSHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO ZAFANYIKA MJINI BEIJING, CHINA