Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira

Makamu Mkurugenzi Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati Bank M ikitangaza kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani ya hapa Tanzania (AMCHAM-TZ) katika kuwasaidia wanaosaka ajira katika kuzikabili changamoto za ajira kisasa zaidi. Wengine pichani toka kushoto ni Makamu wa Rais wa sasa wa AMCHAM-TZ,Bhakti Shah, Mkurugenzi Mkuu wa AMCHAM-TZ, Richard Miles, Bw. David Mbumila kutoka Restless Development na Peter...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA

Afisa Habari wa Wakala wa Ajira Tanzania (TaESA) Jamilah Mbarouk akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelezea mkakati wao wa kuanzisha mafunzo ili kuweza kuwasaidia vijana wahitimu ili wakabiliane na soko la ajira, Wakala umekuwa ukitoa mafunzo ya namna ya kushindania fursa za ajira. Mafunzo haya yamevutia watafutakazi wengi ambao tayari wako sokoni na walioko vyuoni. Aidha mafunzo haya yamewabadilisha vijana wengi waliohudhuria kuhusu suala zima la kuajiriwa na...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka

 Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu wa benki ya Exim Tanzania  Bw. Frederick Kanga (katikati) akimfanyia usahili mmoja wa watanzania anayeishi nchini Marekani Bw. Paul Rupia mara baada ya Mkutano wa Uajiri barani  Afrika (Career Africa Recruitment Summit 2015) uliofanyika mjini New York, Marekani hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bw Dinesh Arora. Benki hiyo imeahidi kutoa fursa sawa za ajira kwa Watanzania wote wakiwemo wale wanaoishi nje ya nchi ili...

 

10 years ago

Michuzi

Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) amewahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji Visiwani Comoro kwani uhusiano baina ya nchi hizi mbili umeimarika.  Mhe. Membe alitoa kauli hiyo wakati akilihutubia Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Comoro lililoandaliwa na Balozi za Tanzania na Comoro kwa kushirikiana na sekta binafsi za nchi hizo mbili jijini Moroni, Comoro tarehe 23 Aprili, 2015.  “Watanzania...

 

11 years ago

Habarileo

Washauriwa kushirikiana kibiashara

WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

China na Australia kushirikiana kibiashara

Rais wa China, Xi Jinping ametia saini mpango wa biashara huru na waziri mkuu wa Australia Tony Abbott.

 

10 years ago

Michuzi

FINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA

 Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  leo. Kuhusiana na  wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.  Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji  wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.





 The Ambassador of the United Republic of Tanzania


                                                      to the United States of America
 H.E. Ambassador Liberata Mulamula

 


has the pleasure to cordially invite you
 to a Barbeque Farewell


 Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)

at 


 Ambassador’s Residence


1 Highboro Court
Bethesda, MD...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa, Bernard Membe akimkabidhi Bi. Shamim Khan tuzo ya heshima ya kujishughulisha na kazi za kijamii hapa Tanzania,katika tamasha la kwanza la Qaswida
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPAWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Sheikh Ismail Mohamed wakati wa tamasha...

 

10 years ago

Vijimambo

Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira

Watu binafsi na jamii kwa ujumla wanakiri kuwakosea
heshima watu wenye ulemavu
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi  dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani