Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s72-c/Untitled.png)
Makamu Mkurugenzi Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati Bank M ikitangaza kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani ya hapa Tanzania (AMCHAM-TZ) katika kuwasaidia wanaosaka ajira katika kuzikabili changamoto za ajira kisasa zaidi. Wengine pichani toka kushoto ni Makamu wa Rais wa sasa wa AMCHAM-TZ,Bhakti Shah, Mkurugenzi Mkuu wa AMCHAM-TZ, Richard Miles, Bw. David Mbumila kutoka Restless Development na Peter...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SMxCktd9lV8/VTpa8ewIU8I/AAAAAAAHS9Y/dX_YT_EvH14/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
11 years ago
Habarileo19 Jun
Washauriwa kushirikiana kibiashara
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
China na Australia kushirikiana kibiashara
10 years ago
MichuziFINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s72-c/16.jpg)
WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s640/16.jpg)
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q4Nn6kOfI3M/VWtgplbIDGI/AAAAAAAC5Q4/dsuPNWP8-7w/s640/17.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s72-c/2.jpg)
Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira
heshima watu wenye ulemavu
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s1600/2.jpg)
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...