China na Australia kushirikiana kibiashara
Rais wa China, Xi Jinping ametia saini mpango wa biashara huru na waziri mkuu wa Australia Tony Abbott.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Jun
Washauriwa kushirikiana kibiashara
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kujenga mtandao wa kibiashara na kujifunza kutoka kwa wengine iwe njia mojawapo ya kuwawezesha kufanikiwa katika uwekezaji.
10 years ago
MichuziFINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s72-c/Untitled.png)
Benki M kushirikiana na Taasisi ya kibiashara ya Marekani Katika kuwasaidia Watanzania wanaosaka ajira
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQmePtl05qo/VXb3p7_uLUI/AAAAAAAHdYA/uGes_C5P_aA/s640/Untitled.png)
11 years ago
Mwananchi27 Mar
China yajitanua kibiashara Ulaya
11 years ago
Mwananchi18 Jun
India , China zinaonyesha ushindani wa kweli kibiashara duniani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wnh49ymr4yE/VXXBsTp26LI/AAAAAAAC54M/v_0P5Ihf278/s72-c/China%2BPix%2B1.jpg)
WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Alichosema Diamond Platnumz baada ya Jokate kuingia mkataba wa kibiashara na kampuni toka CHINA
Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…
“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa...
11 years ago
Habarileo14 Feb
China, Tanzania kushirikiana usafiri wa anga
SERIKALI imesaini na China makubaliano ya mkataba wa usalama wa usafiri wa anga, ambao wataalamu wa masuala hayo wa China, watakuwa wasimamizi wakuu kwa kutoa msaada wa kiufundi nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ccqFpPhBc34/VBGuBz9iYgI/AAAAAAAGi8I/aH55bE2LWKM/s72-c/bandari.jpg)
Mgawe akiri kuusaini Mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ccqFpPhBc34/VBGuBz9iYgI/AAAAAAAGi8I/aH55bE2LWKM/s1600/bandari.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Ephraim Mgawe amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa aliusaini mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL).
Mgawe amekiri kuusaini mkataba huo wa kibiashara leo wakati akisomewa maelezo ya awali (PH) na Wakili wa Serikali, Pius Hilla mbele ya Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Isaya Arufani.
Akisomewa maelezo ya awali yanayohusiana na shtaka la...