Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


India , China zinaonyesha ushindani wa kweli kibiashara duniani

India hutajwa kuwa ni nchi yenye demokrasia kubwa kabisa duniani. Maana yake ni kwamba hakuna nchi yenye mfumo wa utawala wa kidemokrasia duniani ulio na wapigakura wengi kama ilivyo katika nchi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani

Majeshi ya China na India yamejikuta katika makabiliano makali kwenye eneo la Himalayas, ambao una uwezo wa kuongezeka zaidi wakati ambapo pande zote mbii zinajitahidi kuendeleza malego yake ya kimkakati.

 

10 years ago

BBCSwahili

China na Australia kushirikiana kibiashara

Rais wa China, Xi Jinping ametia saini mpango wa biashara huru na waziri mkuu wa Australia Tony Abbott.

 

11 years ago

Mwananchi

China yajitanua kibiashara Ulaya

Baada ya kujikita kibiashara katika mataifa mbalimbali yanayoendelea, sasa imeanza kuelekeza nguvu kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi.

 

5 years ago

CCM Blog

ATCL WASHIRIKI KONGAMANO LA KIBIASHARA INDIA WAJIVUNIA UBORA WA NDEGE ZAKE

 Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akihutubia katika kongamano hilo la biashara la uwekezaji Jijini Mumbai ,India hivi karibuni.
Katibu Mtendaji mkuu wa Wafanyabiashara na Viwanda wa Indo-Afrika  Bi. Sunanda Rajendran  akizungumza katika kongamano hilo
 Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) Patrick Ndekana akizungumza katika kongamano hilo la biashara la uwekezaji Jijini Mumbai, India hivi karibuni.



 
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA INDIA ZINAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI KIBIASHARA, RAIS KIKWETE


Na Ally Kondo, Delhi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa licha ya biashara kati ya Tanzania na India kuongezeka katika miaka ya hivi karibuni, bado kuna nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo fursa zilizopo zitatumiwa ipasavyo.

Rais Kikwete alisema hayo alipokuwa anaongea na Watendaji Wakuu wa Makampuni Makubwa ya India jijini Delhi leo tarehe 18 Juni 2015.

Rais Kikwete yupo nchini India kwa ziara ya Kitaifa ya siku nne iliyoanzia Siku ya Jumanne tarehe 17 Juni, 2015. Alisema kuwa lengo...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani

Akiendelea na ziara katika Mamlaka zinazohusu udhibiti wa huduma za kiuchumi na za kijamii,Waziri wa Nchi(Kazi Maalum), Ofisi ya Rais,Profesa Mark Mwandosya ametembelea makao makuu ya Tume ya Ushindani wa Haki kibiashara, na Baraza la Ushindani, Ubungo, Dar es Salaam. 
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.

TIMU ya wataalam wa biashara kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara na wafanyabiashara wengine wa nchini Tanzania wanatarajiwa kutembelea China baadaye Julai mwaka huu, ikiwa ni katika jitihada za kutafuta fursa za ki biashara ambazo zinaweza kutumika kuleta maendeleo nchini.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...

 

10 years ago

GPL

DUH, DUNIANI KWELI KUNA WAJINGA!

SIMCHEZO duniani kuna watu. Juzijuzi nilihadithiwa mkasa nikagundua kuwa binadamu tunapishana barabarani lakini akili zetu zipo tofauti. Jirani yangu juzi kaniambia alikwenda kwao, si unajua ndugu zetu wengine wakiona dili zinakataa wanarudi kwao kusafisha nyota, sasa alipokuwa huko kusafisha nyota alikutana na  mkasa ambao ni aibu kwa wote wanaotoka eneo lile. Sikutajii eneo hilo kutokana na aina yenyewe ya mkasa, nikitaja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichosema Diamond Platnumz baada ya Jokate kuingia mkataba wa kibiashara na kampuni toka CHINA

Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…

 

“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani