Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani

Akiendelea na ziara katika Mamlaka zinazohusu udhibiti wa huduma za kiuchumi na za kijamii,Waziri wa Nchi(Kazi Maalum), Ofisi ya Rais,Profesa Mark Mwandosya ametembelea makao makuu ya Tume ya Ushindani wa Haki kibiashara, na Baraza la Ushindani, Ubungo, Dar es Salaam. 
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA

Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akizungumza na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Polisi jijini Arusha baada ya kufanikiwa kukamata Simu bandia 215 za mikononi na vifaa vingine vyenye jina la Samsung wakati sio halisi. Baadhi ya Simu,Chaja na mifuniko yenye nembo ya kampuni ya Samsung vilikamatwa kwenye maduka mbalimbali jijini Arusha. Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akionesha moja ya bidhaa bandia zilizokamatwa leo.Amewataka wananchi kununua...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA

 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani (FCC)  na kuidai fidia hiyo ya sh. tirioni moja kutoka na hasara wanayoipata kwa kuruhusu bia ya Windhoek kuingia katika soko la Tanzania ki holela. Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema bia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baraza la ushindani: Tutumieni kwa manufaa ya Taifa na ustawi wa uchumi nchini

11

Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Uchumi wa Baraza la Ushindani (FCT) Bw. Nzinyangwa Mchany akiwaeleza waandishi wa Habari (Hawapo pichani)Kuhusu majukumu ya Baraza hilo na kutoa wito kwa wananchi kulitumia baraza hilo pale itakapohitajika kwa madhumuni ya ustawi wa uchumi wa Jamii na Taifa kwa ujumla.wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Sheria wa Baraza hilo Bi. Hafsa Said.(Picha na Hassan Silayo MAELEZO).

Na Hassan Silayo-MAELEZO

Baraza la ushindani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Mabibo Beer yaidai Tume ya Ushindani (FCC) Tsh. trilioni moja

Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani (FCC)  na kuidai fidia hiyo ya sh. trilioni moja kutoka na hasara wanayoipata kwa kuruhusu bia ya Windhoek kuingia katika soko la Tanzania ki holela.

Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA

Na Dotto Mwaibale KAMPUNI ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd ambayo ni wasambazaji wa bia ya Windhoek inaidai Tume ya Ushindani (FCC), sh.tirioni 1 kwa kukiuka uhalali wa mkataba wa Mabibo na kudai unapingana na ushindani. Katika hatua nyingine kampuni hiyo imeiomba Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa uamuzi uliochukuliwa na Baraza la Ushindani (FCT) mwezi Aprili 2015 kuhusu haki ya Mabibo ya kuagiza na kusambaza bia za Windhoek kipekee katika soko la Tanzania. Hayo...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini

Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Mheshimiwa Prof. Mark Mwandosya alifanya ziara ya kutembelea Mamlaka za Udhibiti wa huduma za umma na shughuli zingine za kiuchumi kwa nia ya kufahamu utendaji, mafanikio na changamoto zinazowakabili katika kutekeleza majukumu waliyokabidhiwa na Serikali kuyafanya. Ziara hiyo ambayo ilianza tarehe 21 hadi 23 Julai, 2014 ilihusisha Mamlaka za udhibiti za SUMATRA, EWURA, TCAA, TCRA, TIRA na SSRA.
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba yenye ushindani

Kamdulla sitaishi, nyumba yenye ushindani, Sipendi utatanishi, uhali hatulingani, Kushindania mapishi, tumbo lina shukurani? Nyumba yenye ushindani, Kamdulla sitaishi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindani utatuweka mjini- FM Academia

Ilitosha kwa FM Academia kumweteka na umaarufu na uzoefu wao mkubwa kwenye soko la muziki wa dansi na kudharau bendi nyingine zinazojaribu kukaribiana nao, lakini haijavimba kichwa na badala yake inaheshimu wapinzani wao wote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Hispania ushindani mkubwa

Dalili za awali katika uchaguzi nchini Hispania zinaonyesha huenda vyama vipya vikapata ushindi zaidi ya vile ambavyo vimekuwepo kwa miongo kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani