Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani
![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Akiendelea na ziara katika Mamlaka zinazohusu udhibiti wa huduma za kiuchumi na za kijamii,Waziri wa Nchi(Kazi Maalum), Ofisi ya Rais,Profesa Mark Mwandosya ametembelea makao makuu ya Tume ya Ushindani wa Haki kibiashara, na Baraza la Ushindani, Ubungo, Dar es Salaam.
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p-VQIhXUI4I/VRaRmTBd-4I/AAAAAAAHNxA/AJzJVxQGnfQ/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eY8dgAigWYs/VRaRmaKzDlI/AAAAAAAHNxE/Yn4ohf4p3hI/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Baraza la ushindani: Tutumieni kwa manufaa ya Taifa na ustawi wa uchumi nchini
Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Uchumi wa Baraza la Ushindani (FCT) Bw. Nzinyangwa Mchany akiwaeleza waandishi wa Habari (Hawapo pichani)Kuhusu majukumu ya Baraza hilo na kutoa wito kwa wananchi kulitumia baraza hilo pale itakapohitajika kwa madhumuni ya ustawi wa uchumi wa Jamii na Taifa kwa ujumla.wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Sheria wa Baraza hilo Bi. Hafsa Said.(Picha na Hassan Silayo MAELEZO).
Na Hassan Silayo-MAELEZO
Baraza la ushindani...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Kampuni ya Mabibo Beer yaidai Tume ya Ushindani (FCC) Tsh. trilioni moja
Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani (FCC) na kuidai fidia hiyo ya sh. trilioni moja kutoka na hasara wanayoipata kwa kuruhusu bia ya Windhoek kuingia katika soko la Tanzania ki holela.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U64EL1aN0YU/U9OvvKTQYmI/AAAAAAAF6lw/OgSHtm37b00/s72-c/Untitled.png)
Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Nyumba yenye ushindani
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ushindani utatuweka mjini- FM Academia
10 years ago
BBCSwahili25 May
Uchaguzi Hispania ushindani mkubwa