TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akizungumza na waandishi wa habari kwenye Kituo cha Polisi jijini Arusha baada ya kufanikiwa kukamata Simu bandia 215 za mikononi na vifaa vingine vyenye jina la Samsung wakati sio halisi.
Baadhi ya Simu,Chaja na mifuniko yenye nembo ya kampuni ya Samsung vilikamatwa kwenye maduka mbalimbali jijini Arusha.
Afisa Mkaguzi wa Tume ya Ushindani(FCC), Michael David akionesha moja ya bidhaa bandia zilizokamatwa leo.Amewataka wananchi kununua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Sep
FCC yakamata simu bandia za mil. 72/-
TUME ya Ushindani (FCC) imekamata simu bandia zenye thamani ya Sh milioni 72.2 katika maduka ya Kariakoo.
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Kampuni ya Mabibo Beer yaidai Tume ya Ushindani (FCC) Tsh. trilioni moja
Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani (FCC) na kuidai fidia hiyo ya sh. trilioni moja kutoka na hasara wanayoipata kwa kuruhusu bia ya Windhoek kuingia katika soko la Tanzania ki holela.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani
![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s72-c/MOTO754.jpg)
MOTO WATEKETEZA SOKO LA BIDHAA ZA UTAMADUNI JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W3uvenvkkWo/VGtYBWrMIBI/AAAAAAAANsk/2AhATakn-SQ/s640/MOTO754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Dip9yWahtyg/VGtYFk8Rs2I/AAAAAAAANss/mRpHtdn0Pkg/s640/MOTO43.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xc93peXk1Us/VGtYHJS-laI/AAAAAAAANs0/sQKlV0o4iiQ/s640/MOTO432.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44eNqzWsJpI/VGtYaLJqRzI/AAAAAAAANts/Ttlccv-g-D0/s640/MOTO%2B56.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_dxAJiZ42Ok/VGtYeWNnlLI/AAAAAAAANt0/PpSEgLzzz_A/s640/MOTO%2B57.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ycQOuvsWixk/VGtYjE7erEI/AAAAAAAANuA/Im03XYnqoMA/s640/MOTO%2B89.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Mar
TRA yakamata bidhaa za magendo za mabilioni
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata bidhaa za magendo zenye thamani ya Sh milioni 228.4, ikiwa ni katika jitihada za kudhibiti uingizaji wa bidhaa kwa njia ya magendo na biashara ya magendo nchini.
10 years ago
Habarileo18 Nov
TFDA yakamata tani 313.4 za bidhaa zisizofaa
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema kwa mwaka 2013/14 ilipokea jumla ya bidhaa zenye uzito wa tani 313.4 zenye thamani ya Sh milioni 962 ambazo zimethibitishwa kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu.
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Bidhaa bandia kero kubwa
KUNA kero nyingi katika taifa hili, ili tupige hatua na kuyasogelea maendeleo ya kweli ni lazima kutafuta ufumbuzi wa kuondoa kero hizi. Serikali yetu imeshambuliwa kwenye vyombo vya habari kwa...