Kampuni ya Mabibo Beer yaidai Tume ya Ushindani (FCC) Tsh. trilioni moja
Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani (FCC) na kuidai fidia hiyo ya sh. trilioni moja kutoka na hasara wanayoipata kwa kuruhusu bia ya Windhoek kuingia katika soko la Tanzania ki holela.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta James Rugemalira (katikati), akizungumza katika mkutano huo na kusema...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA KWA KINACHODAIWA KUKIUKA MKATABA
Na Dotto Mwaibale KAMPUNI ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd ambayo ni wasambazaji wa bia ya Windhoek inaidai Tume ya Ushindani (FCC), sh.tirioni 1 kwa kukiuka uhalali wa mkataba wa Mabibo na kudai unapingana na ushindani. Katika hatua nyingine kampuni hiyo imeiomba Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa uamuzi uliochukuliwa na Baraza la Ushindani (FCT) mwezi Aprili 2015 kuhusu haki ya Mabibo ya kuagiza na kusambaza bia za Windhoek kipekee katika soko la Tanzania. Hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p-VQIhXUI4I/VRaRmTBd-4I/AAAAAAAHNxA/AJzJVxQGnfQ/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eY8dgAigWYs/VRaRmaKzDlI/AAAAAAAHNxE/Yn4ohf4p3hI/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MABIBO BEER WATEMBELEA HOSPITALI YA MWANANYAMALA LEO NA KUTOA MISAADA KWA WAGONJWA.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani
![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hXysdPENCTI/VQaJJrM-cTI/AAAAAAAHKqo/IX2COUNO3zA/s1600/IMG-20150316-WA0001.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/_p9bTjaEtKuc/TH4I5DdcnII/AAAAAAAAFx0/5mzBaygtJvM/s72-c/ttb_logo_small-tanzania.gif)
SERIKALI YA MAREKANI YAZUIA TANZANIA MSAADA WA TRILIONI MOJA
![](http://2.bp.blogspot.com/_p9bTjaEtKuc/TH4I5DdcnII/AAAAAAAAFx0/5mzBaygtJvM/s640/ttb_logo_small-tanzania.gif)
Taarifa iliyotolewa jana na MCC ilieleza kuwa mkutano wa robo ya mwaka wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika hilo linalomilikiwa na serikali ya Marekani kwa ajili ya kutoa misaada kwa nchi zinazoendelea ulijadili pendekezo la mkataba mpya na serikali ya Tanzania wenye thamani ya dola za Kimarekani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania