Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO

Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) wanaoishi kwenye Hostel za Mabibo,wakiangalia moja ya majengo ya Hostel hizo likiwa limeshika moto asubuhi hii.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na msaada wa haraka unahitajia ili kuokoa mali zilizopo kwenye Jengo hilo.Hakuna anaeamini anachokiona,kwani imekuwa ni tukio la ghafla sana.Baadhi ya Wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye Jengo hilo wakiwa nje,huku wakiwa hawajui la kufanya wakati moto huo ukiendelea kuwaka.Moshi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MOTO WAUNGUZA BWENI LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR

Wanafunzi wakijaribu kuokoa baadhi ya mali kutoka katika bweni la Block B kwenye hosteli ya Mabibo, Dar. Moto ukizidi kuunguza bweni hilo. Moto mkali ukifuka kutoka katika bweni la Block B linaloendelea kuungua hivi sasa.…

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ:MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI/MOSQUE JIJINI DAR

Moto Mkubwa umezuka mapema leo kwenye moja ya nyumba pichani iliopo mtaa wa Jamuhuri na Mosque jijini Dar es salaam na kuteketeza  mali kadhaa. Kikosi Kazi cha Globu ya Jamii kipo eneo la tukio kwa sasa kikiendelea kukusanya kila kinachojiri,lakini kwa taarifa kutoka kwa mashuhuda waliopo eneo la tukio wanaeleza kuwa chanzo cha moto huo bado hakijafahamika rasmi,Jeshi la Polisi limefika eneo la tukio kuhakikisha amani na utulivu vinakuwepo huku magari ya zimamoto nayo yakiendelea...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: MOTO WATEKETEZA JENGO MOJA MTAA WA LIVINGSTONE NA NARUNG'OMBE, KARIAKOO HIVI SASA

Moto mkubwa ukiendelea kuteketeza moja ya jengo lililopo kwenye makutano ya Mtaa wa LivingStone na Narung'ombe, Kariakoo jijini Dar es salaam muda huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.
Globu ya Jamii inafuatilia tukio hilo taarifa kamili itawajia baadae kidogo.

 

11 years ago

Michuzi

SHINDANO LA VODACOM DANCE 100 LAPAMBA MOTO LASHIKA KASI JIJINI DAR

Kikundi cha Quality Boys kutoka Kinondoni jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kudansi wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania.Shindano hilo lilishirikisha makundi 18 kutoka wilaya ya Kinondoni.Kikundi cha Wakali Dance kutoka Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya udhamini...

 

10 years ago

GPL

MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI JIJINI JAR

Moshi mkubwa ukiwa umetanda katika paa la jengo hilo lililopo katika mtaa wa Jamhuri jijini Dar.

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO MKUBWA UMEZUKA KWENYE JENGO LILILOPO MTAA WA JAMHURI NA MOSQUE JIJINI DAR

Moto uliozuka mapema leo katika nyumba moja iliyopo kati ya mtaa wa Jamhuri na Mosque jijini Dar es Salaam na kuteketeza mali kadhaa ambazo bado haijaulikana thamani yake na kutokana na mashuhuda waliokuwepo wakati moto huo ukianza kuwaka wanafikiri moto huo huenda umesababishwa na hitilafu ya umeme lakini msemaji kutoka kikosi cha zima moto amesema chanzo kamili cha moto huo bado hakijajulikana.Wasamalia wakiliondosha gari lililokua karibu na jengo hilo.Kikosi cha zimamoto na Jeshi la...

 

10 years ago

Daily News

Mabibo Hostel fire another lesson on preparedness


IPPmedia
Mabibo Hostel fire another lesson on preparedness
Daily News
THE ugly scenes of the fire that gutted part of a building at Mabibo Hostel complex that houses a number of female students from the University of Dar es Salaam (UDSM) highlights a serious problem that needs to be urgently addressed. Safety in many ...
Mabibo Hostel block caught firespyghana.com
Fire accident at Mabibo hostel leaves two hospitalisedIPPmedia
Tanzania hostel is on fire as 400 university students cheat...

 

11 years ago

Michuzi

Breaking Newssss: moto wateketeza soko la mitumba la karume jijini Dar usiku huu

Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam  ambalo linateketea na moto usiku huu.  Taarifa zilizotufikia katika meza ya usiku zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika  kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo  hilo. Tunafuatilia kujua kama kuna watu walioathirika na moto huo pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani