MOTO MKUBWA UMEZUKA KWENYE JENGO LILILOPO MTAA WA JAMHURI NA MOSQUE JIJINI DAR

Moto uliozuka mapema leo katika nyumba moja iliyopo kati ya mtaa wa Jamhuri na Mosque jijini Dar es Salaam na kuteketeza mali kadhaa ambazo bado haijaulikana thamani yake na kutokana na mashuhuda waliokuwepo wakati moto huo ukianza kuwaka wanafikiri moto huo huenda umesababishwa na hitilafu ya umeme lakini msemaji kutoka kikosi cha zima moto amesema chanzo kamili cha moto huo bado hakijajulikana.
Wasamalia wakiliondosha gari lililokua karibu na jengo hilo.
Kikosi cha zimamoto na Jeshi la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BREAKING NEWZZZZZ:MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI/MOSQUE JIJINI DAR

10 years ago
GPL
MOTO MKUBWA UMEZUKA KATIKA MOJA YA JENGO MTAA WA JAMUHURI JIJINI JAR
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
MOTO MKUBWA WAUNGUZA JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kikosi cha SUMA JKT, May 5, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo...
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO

10 years ago
Michuzi.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: MOTO WATEKETEZA JENGO MOJA MTAA WA LIVINGSTONE NA NARUNG'OMBE, KARIAKOO HIVI SASA
.jpg)
.jpg)
Globu ya Jamii inafuatilia tukio hilo taarifa kamili itawajia baadae kidogo.