Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-U64EL1aN0YU/U9OvvKTQYmI/AAAAAAAF6lw/OgSHtm37b00/s72-c/Untitled.png)
Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Mheshimiwa Prof. Mark Mwandosya alifanya ziara ya kutembelea Mamlaka za Udhibiti wa huduma za umma na shughuli zingine za kiuchumi kwa nia ya kufahamu utendaji, mafanikio na changamoto zinazowakabili katika kutekeleza majukumu waliyokabidhiwa na Serikali kuyafanya. Ziara hiyo ambayo ilianza tarehe 21 hadi 23 Julai, 2014 ilihusisha Mamlaka za udhibiti za SUMATRA, EWURA, TCAA, TCRA, TIRA na SSRA.
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziPROF. MARK MWANDYOSA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MAKAO MAKUU YA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) JIJIJI DAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/kimbari.jpg)
PROF. MARK MWANDOSYA AONGOZA MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s72-c/20141228_092909.jpg)
Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya
![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s1600/20141228_092909.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mQskdxGhGNs/VKDxEOWeHbI/AAAAAAAG6SQ/vkziDAZ-9v4/s1600/20141228_092959.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHWDRFpLjeo/VKDsf3avAiI/AAAAAAAG6RM/nkKuoPlWTmg/s1600/20141228_092001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y9h3Yu_JVxY/VSi7QmTZuwI/AAAAAAAHQL4/kEa4xX8Vj8Y/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
ziara ya kikazi ya profesa mark mwandosya zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y9h3Yu_JVxY/VSi7QmTZuwI/AAAAAAAHQL4/kEa4xX8Vj8Y/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-76P-jr7ougA/VSi6eHykacI/AAAAAAAHQLg/PMHD7im957E/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboPROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2YUZFmVfcs0/VTdaPqnL1TI/AAAAAAAHSd8/XHi9YOCOuNM/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
![](http://3.bp.blogspot.com/-2YUZFmVfcs0/VTdaPqnL1TI/AAAAAAAHSd8/XHi9YOCOuNM/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QzkXwzR8kFo/VTdaPHeLEgI/AAAAAAAHSds/nSOaUZqcw9o/s1600/unnamed%2B(89).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-csbd4p7wS1A/U2iYgocCeOI/AAAAAAAFf1U/orIlMLtxMqM/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA MTENDAJI MKUU WA MAMLAKA YA UDHIBITI NA UNUNUZI WA UMMA (PPRA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-csbd4p7wS1A/U2iYgocCeOI/AAAAAAAFf1U/orIlMLtxMqM/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Dkt. Shirima ni Mkurugenzi wa kujenga Uwezo wa Huduma za Ushauri (Capacity Building and Advisory Service-PPRA) na pia ndiye anaye kaimu nafasi ya Mtendaji Mkuu wa PPRA.
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 2 Mei, 2014.
Imetolewa na;
Premi Kibanga, Mwandishi wa Habari wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOIRy4*jb49RUaP0OBtwtIEfw9atEpYPCnW88Q4O3jbWGVkgZifizfosJHPb*n2zjECAZ8-omvxObjkhJNiVGxP/01.jpg?width=650)
WAZIRI WA UCHUKUZI DK.HARRISON MWAKYEMBE AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA)
10 years ago
VijimamboMhe. Ummy Mwalimu afanya ziara ya ukaguzi wa mazingira katika kiwanda cha OK Plastic