PROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.
Profesa Mark James Mwandosya " Katika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu".
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wCzqILwNUtk/VW4DurT5SeI/AAAAAAAHbfs/VH9Y34gr4qI/s72-c/Mwandosya-Mark.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s72-c/20141228_092909.jpg)
Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya
![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s1600/20141228_092909.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mQskdxGhGNs/VKDxEOWeHbI/AAAAAAAG6SQ/vkziDAZ-9v4/s1600/20141228_092959.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHWDRFpLjeo/VKDsf3avAiI/AAAAAAAG6RM/nkKuoPlWTmg/s1600/20141228_092001.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 May
Mwandosya kutangaza nia ya urais Jumatatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Prof.Mark-28May2015.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya, anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais Juni Mosi na kuchukua fomu Juni tatu mwaka huu.
Mwandosya ambaye tayari ametangaza kuacha kuwani ubunge katika jimbo la Rungwe Mashariki, anakusudia kuchukua fomu siku hiyo kuwania mbio za urais.
Profesa Mwandosya alisema sababu zilizomsukuma kuwania urais, atazitaja Juni Mosi atakapotangaza nia mkoani Mbeya.
Alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s72-c/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Profesa Mark Mwandosya ashukuru wadhamini wake na wananchi wote
![](http://2.bp.blogspot.com/-81wGVUdgEVk/VaKu3JAsXJI/AAAAAAAHpIE/kAgYG2fHIUM/s640/IMGL0062%2B%25281%2529.jpg)
Lucy Mwandosya wakiwa mijini Dodoma leoKatika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu. Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya...
10 years ago
Mwananchi27 May
Foleni ya Ikulu: Mwandosya, Muhongo kutangaza nia wiki ijayo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U64EL1aN0YU/U9OvvKTQYmI/AAAAAAAF6lw/OgSHtm37b00/s72-c/Untitled.png)
Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/kimbari.jpg)
PROF. MARK MWANDOSYA AONGOZA MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR
10 years ago
GPLPROF. MWANDOSYA AKITANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KATIKA UKUMBI WA MKAPA JIJINI MBEYA
10 years ago
VijimamboMBUNGE JAMES MBATIA AWASHUKURU WANANCHI JIMBO LA VUNJO KUKIUNGA MKONO CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.