Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akiwa kwenye picha ya pamoja na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akikata keki sambamba na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.Waziri...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini

Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Mheshimiwa Prof. Mark Mwandosya alifanya ziara ya kutembelea Mamlaka za Udhibiti wa huduma za umma na shughuli zingine za kiuchumi kwa nia ya kufahamu utendaji, mafanikio na changamoto zinazowakabili katika kutekeleza majukumu waliyokabidhiwa na Serikali kuyafanya. Ziara hiyo ambayo ilianza tarehe 21 hadi 23 Julai, 2014 ilihusisha Mamlaka za udhibiti za SUMATRA, EWURA, TCAA, TCRA, TIRA na SSRA.
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...

 

11 years ago

GPL

PROF. MARK MWANDOSYA AONGOZA MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR

Mgeni Rasmi Mh. Profesa Mark J. Mwandosya Waziri Ofisi ya Rais akipokea Mwenge Maalum wa Kumbukumbu ya Miaka 20 ya Mauaji ya Rwanda kutoka kwa Mustapha Issa wa kwanza kutoka upande wa kushoto pamoja na Amina Mtegeti. Baadhi ya Wanafunzi pamoja na watu wengine mbalimbali wakiwa wameshika mabango mbalimbali yanayoelezea siku ya kumbukumbu ya Mauaji… ...

 

10 years ago

Vijimambo

PROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.

Profesa Mark James  Mwandosya " Katika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). Majaribu hayo ni njia moja ambayo naamini Mwenyezi Mungu, muweza wa yote, humuimarisha mtu na huimarisha Taifa iwapo tunaweza kuyamudu". 
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...

 

10 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA


Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA ANKAL SAMIYA

Ing. Ally Mlunga na Mai waifu wake Swabra Ngomoi, wanayofuraha kusherehekea pamoja na binti yao siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza miaka miwili. Kwa pamoja wanamtakia maisha mema yenye mafanikio.Besdei gel Samiya akisaidiwa na kaka yake (Salum) kugawanya Keki ya besdei yake ili yeye na waalikwa wengine wapate kuila. Mambo ya kata keeeki tuleeeeeee... kata keeki tuleeeeee...!!!Besdei gel Samiya akipewa kampani na kaka yake Salum katika siku yake hii ya furaha.

 

11 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON

AARON KUTOKA ARUSHA AMEFIKISHA UMRI WA MWAKA MMOJA TAREHE 27 FEBURUARY, 2014, ASHUKURIWE MUNGU,NA PIA ANATOA SALAAM ZA ZA UPENDO KWA WAZAZI WAKE,KAKA ZAKE DAVID NA MARK NA WADAU WOTE WA BLOG YA JAMII   MDAU FRANK, ARUSHA

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI

Napenda Kuchukua Fursa hii Kumshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma na Mwenye Kurehemu kwa kunijaalia Uhai na afya njema hadi kufikia siku hii ya leo,ambapo ninayo furaha kubwa sana kwa kuongeza namba moja katika umri wangu, kwani bila yeye hakuna kitu chochote kinachoweza kufanyika.
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina  Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO

Mwanalibeneke wa Demasho.com Hamza Juma akiwa anawajibika , leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa .


Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa  ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...

 

10 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa mhe. samwel sitta

 Watoto wa Mhe Samwel John Sitta wana furaha ya kusherehekea miaka 72 ya kuzaliwa kwa baba yao mpendwa. Wanatoa salamu za heri, upendo na furaha kwa mzee wao kufikisha miaka hiyo akiwa buheri wa afya na wanamtakia azime tena mishumaa mingine zaidi huku akiendelea kuwapenda kama wanavyompenda. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani