Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya
![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s72-c/20141228_092909.jpg)
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akiwa kwenye picha ya pamoja na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akikata keki sambamba na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.
Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U64EL1aN0YU/U9OvvKTQYmI/AAAAAAAF6lw/OgSHtm37b00/s72-c/Untitled.png)
Mhe. Prof. Mark Mwandosya afanya ziara katika Mamlaka Za Udhibiti Nchini
Katika ziara yake hiyo Waziri Prof. Mwandosya alieleza...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/kimbari.jpg)
PROF. MARK MWANDOSYA AONGOZA MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboPROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s72-c/unnamed%2B(1).png)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA ANKAL SAMIYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s1600/unnamed%2B(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sCzg-DGjsk4/VEzrpRLVmII/AAAAAAAGtaM/60MqVPNxSjw/s1600/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s72-c/unnamed+(64).jpg)
HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON
![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s1600/unnamed+(64).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s72-c/MMG25737.jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...
10 years ago
Michuzi11 Jan
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh4_cm_EvVU/VJPampzPyPI/AAAAAAAG4XI/kM9hoD3Y0S4/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa mhe. samwel sitta
![](http://1.bp.blogspot.com/-jh4_cm_EvVU/VJPampzPyPI/AAAAAAAG4XI/kM9hoD3Y0S4/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MNwGRh992gA/VJPam3ApkjI/AAAAAAAG4XM/rgo7GJACc3w/s1600/unnamed%2B(32).jpg)