HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Mwanalibeneke wa Demasho.com Hamza Juma akiwa anawajibika , leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa .
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
10 years ago
Michuzi24 Sep
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE FAUSTINE RUTA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/U7a8LhKRxp8Us6dmexBK8pLptfHCaZHnRZOcrqmJgFlXvvuVnkunZvcLi0bYHpD4VzvoEDavUhCnrhiVxxIZOYZIXIKYpG62Ldk1xCpFOBZd30RzTzcYEVUj-Z3aqCqa-2mjAZCkKAn1z4ohP7oQVxToTu6s376Q9ycbDH9HgXqeQ_rgipvQdo6-0KPIYN3oDcz49mPE1k2_dHRgPFFdqoB688jdkalnyqEeUbuyFgEYHQVMcYUH0PPT46zRxGzPOMUroSXnOvsocGvZdFa3qh-fLyfV13ZuPidDRYQzVRmDJxTvfOcj-xBvc1b6D40R_EZ9DS5IczPTCv6ZWlcEyhplcTswhYrzoIQM7HQDYtUSoHKGQgP3-GW5gOU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-3nFdxL19sts%2FVCJmdK8l5sI%2FAAAAAAAAXuw%2FpBsw2fNRXzQ%2Fs1600%2F1263011_579831398731680_1022212095_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Leo tarehe 24 mwezi wa tisa ni siku ya kuzaliwa kwa mpiganaji mwanalibeneke na mdau Faustine Ruta wa bukobasports.com.
"Namushukuru Mungu kwa Zawadi ya Uhai, afya njema na kunijalia Mpaka sasa hapa nilipo.Napenda kuwashuku sana wadau wangu wote tunaoshirikiana kila siku katika ujenzi wa Taifa katika kuhabarisha.
Pia natoa shukrani kubwa kwa wadau, Wanalibeneke wenzangu ndugu na marafiki wanao endelea kuniunga mkono." Asanteni sana !
10 years ago
Michuzi08 Dec
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE HENRY KAPINGA MMILIKI WA KAPINGAZ BLOG
![](https://2.bp.blogspot.com/-6OpDlHuPuVY/VITqHnyQ1wI/AAAAAAAAGUo/ynLTivyz_P4/s1600/KPBLOGPIC.jpg)
Leo tarehe 08/12 ndio siku ambayo ukurasa wa historia ya maisha yangu ulifunguliwa rasmi, ni siku ambayo nilizaliwa, napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniweka mpaka leo na vilevile kuwashukuru wazazi wangu kwa kunilea katika maisha yangu ya utotoni mpaka nilipoanza kujitegemea.
Napenda kuchukua fursa hii pia kuwashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kunisapoti kwa mambo mbalimbali ili mradi nifikie pale...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7CBYu-mVyc/U1iYvNQa4kI/AAAAAAAFcms/sdnwsTk0YHo/s72-c/unnamed+(88).jpg)
happy besdei ya kuzaliwa mwanalibeneke edwin moshi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7CBYu-mVyc/U1iYvNQa4kI/AAAAAAAFcms/sdnwsTk0YHo/s1600/unnamed+(88).jpg)
Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema. Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana Edwin Moshi, C.E.O Eddy Blog
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s72-c/unnamed+(64).jpg)
HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON
![](http://2.bp.blogspot.com/-zm5TgCg8aEw/UxCRBIsHzOI/AAAAAAAFQTI/_l85PzZFPvg/s1600/unnamed+(64).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s72-c/unnamed%2B(1).png)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA ANKAL SAMIYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s1600/unnamed%2B(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sCzg-DGjsk4/VEzrpRLVmII/AAAAAAAGtaM/60MqVPNxSjw/s1600/unnamed.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s72-c/MMG25737.jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...
11 years ago
Michuzi18 Mar
hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/w8K8noX8-13r6CAVbr-5jRt8PWO89cQP6WYzB7vBmiipgjLrTpuChRslBz8hTvlmVelpB8gLlybw3disljC4QOAlRGs4OKpBfaOb4YDXj2tfimhsdaeCZaLe6AI4EO_AfCaprR49hK-AKSGmPBT409h2=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/1901973_767456013266534_2091588404_n.jpg)
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
hepi besdei ya miaka 80 ya kuzaliwa yanga leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfhjrMknt1Q/VNr-d_E-xJI/AAAAAAAHC_4/qVtVvfJlR_g/s1600/unnamed%2B(61).jpg)