happy besdei ya kuzaliwa mwanalibeneke edwin moshi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z7CBYu-mVyc/U1iYvNQa4kI/AAAAAAAFcms/sdnwsTk0YHo/s72-c/unnamed+(88).jpg)
Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema.
Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu,
Asanteni Sana
Edwin Moshi,
C.E.O Eddy Blog
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
10 years ago
Michuzi11 Jan
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
10 years ago
Michuzi24 Sep
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE FAUSTINE RUTA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/U7a8LhKRxp8Us6dmexBK8pLptfHCaZHnRZOcrqmJgFlXvvuVnkunZvcLi0bYHpD4VzvoEDavUhCnrhiVxxIZOYZIXIKYpG62Ldk1xCpFOBZd30RzTzcYEVUj-Z3aqCqa-2mjAZCkKAn1z4ohP7oQVxToTu6s376Q9ycbDH9HgXqeQ_rgipvQdo6-0KPIYN3oDcz49mPE1k2_dHRgPFFdqoB688jdkalnyqEeUbuyFgEYHQVMcYUH0PPT46zRxGzPOMUroSXnOvsocGvZdFa3qh-fLyfV13ZuPidDRYQzVRmDJxTvfOcj-xBvc1b6D40R_EZ9DS5IczPTCv6ZWlcEyhplcTswhYrzoIQM7HQDYtUSoHKGQgP3-GW5gOU=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-3nFdxL19sts%2FVCJmdK8l5sI%2FAAAAAAAAXuw%2FpBsw2fNRXzQ%2Fs1600%2F1263011_579831398731680_1022212095_o.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Leo tarehe 24 mwezi wa tisa ni siku ya kuzaliwa kwa mpiganaji mwanalibeneke na mdau Faustine Ruta wa bukobasports.com.
"Namushukuru Mungu kwa Zawadi ya Uhai, afya njema na kunijalia Mpaka sasa hapa nilipo.Napenda kuwashuku sana wadau wangu wote tunaoshirikiana kila siku katika ujenzi wa Taifa katika kuhabarisha.
Pia natoa shukrani kubwa kwa wadau, Wanalibeneke wenzangu ndugu na marafiki wanao endelea kuniunga mkono." Asanteni sana !
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-njqvXhbdzp4/Uww10eMVs5I/AAAAAAAFPXc/WLV1q14Jxjo/s72-c/unnamed+(2).jpg)
LEO NI HEPI BESDEI YA KUZALIWA DIXON BUSAGAGA WA GLOBU YA JAMII MOSHI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-njqvXhbdzp4/Uww10eMVs5I/AAAAAAAFPXc/WLV1q14Jxjo/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
Michuzi08 Dec
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE HENRY KAPINGA MMILIKI WA KAPINGAZ BLOG
![](https://2.bp.blogspot.com/-6OpDlHuPuVY/VITqHnyQ1wI/AAAAAAAAGUo/ynLTivyz_P4/s1600/KPBLOGPIC.jpg)
Leo tarehe 08/12 ndio siku ambayo ukurasa wa historia ya maisha yangu ulifunguliwa rasmi, ni siku ambayo nilizaliwa, napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniweka mpaka leo na vilevile kuwashukuru wazazi wangu kwa kunilea katika maisha yangu ya utotoni mpaka nilipoanza kujitegemea.
Napenda kuchukua fursa hii pia kuwashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kunisapoti kwa mambo mbalimbali ili mradi nifikie pale...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Mwanalibeneke Edwin Moshi ndani ya Radio Wüste Welle Ujerumani
![cwp photography :: www.wohlwill.de](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC2403.jpg)
![cwp photography :: www.wohlwill.de](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC2410.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wrTi5n3oAmw/VDAOPZprJ5I/AAAAAAAGn0U/1MWDz59TF_E/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mwanalibeneke edwin moshi atembelea redio ya kijamii iliyopo kwenye mji wa Tübingen, Ujerumani
![](http://1.bp.blogspot.com/-wrTi5n3oAmw/VDAOPZprJ5I/AAAAAAAGn0U/1MWDz59TF_E/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3fZaPpHXHlU/VDAOPwIs5VI/AAAAAAAGn0Y/UYlMph7orKs/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yg6mdAO9kV4/VHwV9S3yiUI/AAAAAAAG0bw/ceRjrVZgo4Q/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
hepi besdei ya miaka 80 ya kuzaliwa yanga leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHiI15pe7lk/VNr-dsJVmKI/AAAAAAAHC_0/Y8TabStWt1Q/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfhjrMknt1Q/VNr-d_E-xJI/AAAAAAAHC_4/qVtVvfJlR_g/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania