Mwanalibeneke edwin moshi atembelea redio ya kijamii iliyopo kwenye mji wa Tübingen, Ujerumani
.jpg)
Redio Wüste Welle ni redio ya kijamii iliyopo kwenye mji wa Tübingen nchini Ujerumani ambacho kimekuwa kikijihusisha na shughuli za kijamii ikiwemo kutoa mafunzo ya vitu mbalimbali vinavyohusiana na taaluma ya uandishi wa habari. Mwanalibeneke Edwin Moshi alikuwa ni mmoja wapo kati ya waliopata hiyo fursa Mbali na shughuli zake za utangazaji wa redio pia ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa EDDY BLOG
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog05 Oct
Mwanalibeneke Edwin Moshi ndani ya Radio Wüste Welle Ujerumani


11 years ago
Michuzi.jpg)
happy besdei ya kuzaliwa mwanalibeneke edwin moshi leo
.jpg)
Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema. Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu, Asanteni Sana Edwin Moshi, C.E.O Eddy Blog
10 years ago
Michuzi20 Jun
MHANDISI EDWIN NGONYANI ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA UTUMISHI WA UMMA



10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Redio za kijamii zatakiwa kutoa elimu kwa jamii
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph, akifafanua jambo kwa Diwani wa kata ya Ololosokwani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika lisiolo la kiserikali la RAMAT inayomiliki Redio Loliondo FM, Bw. Yannick Ndoinyo (kushoto) wakati wa ziara ya kukagua miradi inayofadhiliwa na UNESCO. Bw. Al Amin aliambatana na wadau wa maendeleo Meneja Mauzo wa Samsung tawi la Tanzania, Bw. Sylvester Nteere (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Ubalozi wa Uswiss nchini, Bw....
11 years ago
GPL
REDIO ZA KIJAMII ZATAKIWA KUTOA ELIMU KWA JAMII
11 years ago
Vijimambo.jpg)
TÜBINGEN AFRICAN DAYS 2015 CELEBRATES "REP OF CAMEROON" REGISTRATION OUT NOW - 23rd - 26th JULY 2015 - AFRICAN VILLAGE TÜBINGEN - STUTTGART - GERMANY
.jpg)
The University city Tübingen-Germany, its Lord Major –Boris Palmer and the African Diaspora in Germany shall vibrate and celebrate one African country at a time. It´s 6th Edition from 23rd to 26 July 2015 shall celebrate the Rep. Of Cameroun – Business, projects, culture and its diaspora at the African village in Tübingen, be part of now! The Tübingen African...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Serikali wilayani Ngorongoro yatakiwa kutoa ushirikiano kwa redio za kijamii
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali akiwakaribisha wadau wa maendeleo ofisini kwake Loliondo walioongozwa na Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa UNESCO, Bw. Al Amin Yusuph (wa tatu kushoto) aliyefuatana na Meneja Mauzo wa Kampuni a Samsung tawi la Tanzania , Bw. Slyvester Nteere (wa pili kushoto) pamoja na mwakilishi wa Ubalozi wa Uswiss nchini, Bw. Eric Kalunga (kushoto) wakiwa na mwenyeji wao Diwani wa kata ya Ololosokwani, Yannick Ndoinyo (kushoto kwa DC).
Na...
11 years ago
GPL
SERIKALI WILAYANI NGORONGORO YATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA REDIO ZA KIJAMII