Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanalibeneke Edwin Moshi ndani ya Radio Wüste Welle Ujerumani

cwp photography :: www.wohlwill.de

Redio Wüste Welle ni kituo cha redio ya kijamii kilichopo kwenye mji wa Tübingen nchini Ujerumani ambacho kimekuwa kikijihusisha na shughuli za kijamii ikiwemo kutoa mafunzo ya vitu mbalimbali vinavyohusiana na taaluma ya uandishi wa habari. Mdau Edwin Moshi alikuwa ni mmoja wapo kati ya waliopata hiyo fursa ya kutembelea kituo hicho cha redio. Mbali na shughuli zake za utangazaji wa redio pia ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa EDDY BLOG cwp photography :: www.wohlwill.de cwp photography :: www.wohlwill.de

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwanalibeneke edwin moshi atembelea redio ya kijamii iliyopo kwenye mji wa Tübingen, Ujerumani

 Redio Wüste Welle ni redio ya kijamii iliyopo kwenye mji wa Tübingen nchini Ujerumani ambacho kimekuwa kikijihusisha na shughuli za kijamii ikiwemo kutoa mafunzo ya vitu mbalimbali vinavyohusiana na taaluma ya uandishi wa habari. Mwanalibeneke Edwin Moshi alikuwa ni mmoja wapo kati ya waliopata hiyo fursa Mbali na shughuli zake za utangazaji wa redio pia ni mmiliki wa mtandao wa kijamii wa EDDY BLOG

 

11 years ago

Michuzi

happy besdei ya kuzaliwa mwanalibeneke edwin moshi leo


Wadau, Nakushukuru mwenyezi MUNGU kwa kunifikisha siku hii ya leo Alhamisi Aprili 24 ambapo naadhimisha siku ya kuzaliwa, ni kwa neema yako tu mimi kufika hapa nilipo, nakuomba unisaidie kwa kila kitu katika maisha yangu nizidi kukutumikia vyema.  Nawashukuru wanalibeneke wenzangu wote, pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kwa kuniunga mkono katika siku hii muhimu kwangu,  Asanteni Sana  Edwin Moshi,  C.E.O Eddy Blog

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ATEMBELEA IDHAA YA KISWAHILI YA RADIO DEUTSCHE WELLE

Mkuu wa Idara ya Kiswahili ya Radio Deutsche WELLE Bi. Andrea Schmidt akimshukuru Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya baada kubadilishana mawazo kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Jumuiya ya Ulaya ofisini kwake Bonn.

 

10 years ago

Michuzi

mtangazaji mahiri wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba ahamia DW Ujerumani

Aliyekuwa mtangazaji wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba (wa pili kulia) akiwa na watangazaji wakongwe wa DW jijini Bonn, Ujerumani alikohamia hivi karibuni. Wengine kutoka kulia ni Mohamed Dahman, Sudi Mnete, Sekioni Kitojo, Abdul Mtulya na mdau.

 

11 years ago

GPL

PENNY AONYESHA MBWEMBWE ZAKE NDANI YA EFM RADIO

Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha radio EFM, Penniel Mwingilwa 'VJ Penny' akifanya vitu vyake studio juzi Jumamatu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Diamond Platnumz atinga ndani ya studio za Genn Online Radio

IMG_1629

Mashabiki wa Diamond Platnumz wakipata nae picha ya pamoja na Rais huyo wa Wasafi alipokuwa akiwasili kwenye mji wa Olathe jimbo la Kansas ilipo Radio hiyo ya GENN kwa mahajiano kabla ya show yake inayotarajiwa kufanyika muda si mrefu katika anuani ya 8625 Troost Ave, Kansas City, Missouri.

IMG_1642

Mtangazaji wa GENN Radio AJ (mwenye kofia nyeusi wapili toka kulia) akimfanyia mahojiano Diamond Platnumz ndani ya Studio ya Radio hiyo ambayo inapatikana mtandaoni www.gennmedia.com wengine ni Dj Romy...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ ATINGA NDANI YA STUDIO ZA GENN ONLINE RADIO‏ JIJINI KANSAS,MAREKANI

Mtangazaji wa GENN Radio AJ (mwenye kofia nyeusi wapili toka kulia) akimfanyia mahojiano Diamond Platnumz ndani ya Studio ya Radio hiyo ambayo inapatikana mtandaoni wengine ni Dj Romy Jons Poromota DMK na Dj Bston (kulia)  Dj Boston na AJ wakimsikiliza Diamond Platnumz wakati ajibu moja ya maswali waliyomuuliza.…

 

11 years ago

Michuzi

Jhikoman katika tizi la Uzee mwisho Chalinze ndani ya Ujerumani

 Mwanamuziki maaruffu wa Reggae barani Afrika Jhikoman ambaye anatarajia kupanda jukwaani wiki hii katika maonyesho ya 5th International African Festival Tubingen,2014,Germany. mwanamuziki (pichani) akiwa katika mazoezi ya viungo maarufu kama 'Uzee mwisho Chalinze' ndani ya Ujerumani. kwa wale wanataka kumpa Hi! +49(0)15211229655 Kilomita 10 kila asubuhi si mchezo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani