Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mtangazaji mahiri wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba ahamia DW Ujerumani

Aliyekuwa mtangazaji wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba (wa pili kulia) akiwa na watangazaji wakongwe wa DW jijini Bonn, Ujerumani alikohamia hivi karibuni. Wengine kutoka kulia ni Mohamed Dahman, Sudi Mnete, Sekioni Kitojo, Abdul Mtulya na mdau.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Exclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM

Mtangazaji mahiri wa habari za michezo wa siku nyingi Maulidi Baraka Kitenge amejiunga na kituo cha radio kiitwacho EFM 93.7 kilichopo Kawe jijini Dar Es salaam leo.
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...

 

10 years ago

Michuzi

News Alert: mtangazaji mahiri wa RTD Ben Kiko afariki dunia

Mtangazaji wa zamani wa Radio Tanzania (RTD) sasa TBC,Ben Hamis Kikoromo maarufu kama Ben Kiko enzi za uhai wake akiwa katika moja ya semina alizohudhuria.

MTANGAZAJI na mwandishi wa habari mkongwe nchini Ben Kiko amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hosptali ya taifa ya rufaa ya Muhimbili jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Ben Kiko ambaye jina lake kamili ni Ben Hamisi Kikoromo alihamishiwa katika hosptali ya Muhimbili kutokea hosptali ya Jeshi ya Milambo ya mkoani...

 

10 years ago

IPPmedia

ITV, Radio one donate Sh45m school desks


IPPmedia
ITV, Radio one donate Sh45m school desks
IPPmedia
ITV/Radio One Managing Director, Joyce Mhavile, (R), shakes hands with the Kinondoni Municipal Director, Mussa Natti, as the Head teacher of Tandale Primary School of Dar es Salaam, Florence Bonda, looks on during the handing over ceremony of school ...

 

10 years ago

Michuzi

Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo

MTANGAZAJI machachari wa habari za michezo kupitia kituo cha Televisheni cha ITV na Radio One, Maulid Baraka Kitenge (pichani) leo kupitia akaunti yake ya Twitter ametangaza rasmi kubwaga manyanga (kuacha kazi) katika Kampuni hiyo aliyokuwa akiifanyia kazi baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka 14. chini ni ujumbe wake aliouandika kupitia akaunti yake ya Twitter.

 

10 years ago

IPPmedia

UDASA, ITV/Radio One organise debates for presidential hopefuls


IPPmedia
UDASA, ITV/Radio One organise debates for presidential hopefuls
IPPmedia
Public debates for Presidential hopefuls are expected to be organised by the University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly (UDASA) in collaboration with Independent Television (ITV)/Radio One. The move has been agreed upon to enable wananchi ...

 

9 years ago

Global Publishers

Jide ahamia Ujerumani!

jaydeeJudith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’.

Stori: Na Brighton Masalu

MOYONI nina majonzi, sina tofauti na mpofu! Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’ kwa sasa hana makazi maalum Bongo, amehamishia makazi na shughuli zake katika ardhi ya ‘Kansela’ wa Ujerumani, Angelina Merkel kwenye Jiji la Born.

Katika mazungumzo yake na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Jumatatu ya wiki hii, Jide ambaye alidai kwa sasa yupo nchini kwa Sikukuu ya Krismasi (kesho), alisema sababu zilizomfanya...

 

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Dream team ya radio one na ITV enzi hizo

Ankal hebu rusha hiki kikosi kabambe cha Radio One na ITV enzi hizo. Je unawakumbuka na ilikuwa lini hii taswira? Msaada tutani kwa wenye data tafadhali... 

 

9 years ago

Michuzi

ITV and Radio One issued with a strong warning for airing ‘false breaking-news’

The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Content Committee Chairperson Mrs Margaret Munyagi (centre ) and other Committee officials Mr Joseph Mapunda (right) and Mr Walter Bgoya during a Ruling against ITV and Radio One for airing ‘false breaking-news’ that the Police Force had forbidden a procession that was meant to escort the presidential candidate aspirant on CHADEMA ticket Mr Edward Lowassa who was to pick nomination forms on 10thAugust 2015. ITV and Radio One was issued...

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani