mtangazaji mahiri wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba ahamia DW Ujerumani
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pg8rDIIRsKw/VaWHy7p_HmI/AAAAAAAHpys/V3fb-xTtKVc/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Aliyekuwa mtangazaji wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba (wa pili kulia) akiwa na watangazaji wakongwe wa DW jijini Bonn, Ujerumani alikohamia hivi karibuni. Wengine kutoka kulia ni Mohamed Dahman, Sudi Mnete, Sekioni Kitojo, Abdul Mtulya na mdau.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziExclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qpuzt31zWvQ/VFMqQQzRcbI/AAAAAAAAJCw/Wjzu5H-41zY/s72-c/10404078_804304932941087_3151379507521605264_n.jpg)
News Alert: mtangazaji mahiri wa RTD Ben Kiko afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-qpuzt31zWvQ/VFMqQQzRcbI/AAAAAAAAJCw/Wjzu5H-41zY/s640/10404078_804304932941087_3151379507521605264_n.jpg)
MTANGAZAJI na mwandishi wa habari mkongwe nchini Ben Kiko amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hosptali ya taifa ya rufaa ya Muhimbili jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Ben Kiko ambaye jina lake kamili ni Ben Hamisi Kikoromo alihamishiwa katika hosptali ya Muhimbili kutokea hosptali ya Jeshi ya Milambo ya mkoani...
10 years ago
IPPmedia06 Sep
ITV, Radio one donate Sh45m school desks
IPPmedia
IPPmedia
ITV/Radio One Managing Director, Joyce Mhavile, (R), shakes hands with the Kinondoni Municipal Director, Mussa Natti, as the Head teacher of Tandale Primary School of Dar es Salaam, Florence Bonda, looks on during the handing over ceremony of school ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s72-c/kitenge%2Bmau.jpg)
Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-MjLgVgTbo3c/U_IdytVjrKI/AAAAAAAGAhw/724GtuFNhyM/s1600/kitenge%2Bmau.jpg)
10 years ago
IPPmedia16 Jan
UDASA, ITV/Radio One organise debates for presidential hopefuls
IPPmedia
IPPmedia
Public debates for Presidential hopefuls are expected to be organised by the University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly (UDASA) in collaboration with Independent Television (ITV)/Radio One. The move has been agreed upon to enable wananchi ...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jide ahamia Ujerumani!
Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’.
Stori: Na Brighton Masalu
MOYONI nina majonzi, sina tofauti na mpofu! Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’ kwa sasa hana makazi maalum Bongo, amehamishia makazi na shughuli zake katika ardhi ya ‘Kansela’ wa Ujerumani, Angelina Merkel kwenye Jiji la Born.
Katika mazungumzo yake na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Jumatatu ya wiki hii, Jide ambaye alidai kwa sasa yupo nchini kwa Sikukuu ya Krismasi (kesho), alisema sababu zilizomfanya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nWedO8G1-2M/VECgTVXjstI/AAAAAAAGrJM/hDzjyKjBZXI/s72-c/radio%2Bone.jpg)
kutoka maktaba: Dream team ya radio one na ITV enzi hizo
![](http://1.bp.blogspot.com/-nWedO8G1-2M/VECgTVXjstI/AAAAAAAGrJM/hDzjyKjBZXI/s1600/radio%2Bone.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NcR89sn1ZSM/Vc0Gw-vYoYI/AAAAAAAHwcw/nTsPf7EWmJU/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
ITV and Radio One issued with a strong warning for airing ‘false breaking-news’
![](http://1.bp.blogspot.com/-NcR89sn1ZSM/Vc0Gw-vYoYI/AAAAAAAHwcw/nTsPf7EWmJU/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-x3pg1mX4R3A/VgEHQKBAmbI/AAAAAAAD8zU/_YBPJ1p27xE/s72-c/mtangazaji_wa_redio_fb.jpg)