Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kutoka maktaba: Dream team ya radio one na ITV enzi hizo

Ankal hebu rusha hiki kikosi kabambe cha Radio One na ITV enzi hizo. Je unawakumbuka na ilikuwa lini hii taswira? Msaada tutani kwa wenye data tafadhali... 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: usafiri mkuu enzi hizo

Sidhani kama vijana wa umri chini ya miaka 37 watajua hili, ila kwa wenye umri zaidi ya huo watakumbuka mabasi ya East African Railways maarufu kama mabasi ya 'Relwe' ndiyo yaliyokuwa kinara wa usafiri ini na Afrika Mashariki ya Kenya, Uganda na Tanzania kabla ya kuvunjika  kwa jumuiya hiyo mara ya kwanza mwaka 1977. Kabla ya hapo nchi hizo zilikuwa na shirika moja la ndege, meli, usafiri wa barabara na reli.

 

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Underline a.k.a Sunderland SC enzi hizo....

Naam Underline hao! ( a.k.a Sunderland Sports Club.) Kisukari  ,Durban, Kimimbi, Emmanuel 'Full-up'Arthur Mambeta,Gilbert Mahinya, Ali Kajo, Kibunzi VC10/auYussuf Salum Maleta. Waliochuchumaa Hatibu ,Kilomoni,Choteka,Mbaraka Salum Magembe, Liston na Haji Lesso.  

 

10 years ago

Michuzi

Kutoka Maktaba. DKT JOHN POMBE MAGUFULI ENZI ZA UJANA WAKE

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Maghufuli alipokuwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  Makutopora mwaka 1983 kwa mujibu wa sheria

 

10 years ago

Michuzi

usafiri enzi hizo....

 Tiketi na bei ya nauli za jiji la Dar es salaam enzi hizo. Wenye data tunaomba kumbukumbu zenu. Mjadala ruksa mradi usichafue hali ya hewa....

 

11 years ago

Mwananchi

Watu njatanjata ilivyopagawisha enzi hizo

>Mwishoni mwa miaka ya 80, kulikuwa na bendi nyingi za muziki wa dansi, ambazo zilikuwa zikileta upinzani uliozaa burudani iliyokuwa inakonga nyonyo za mashabiki wa muziki huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani