MTANGAZAJI WA KIKE WA RADIO ANATAKIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-x3pg1mX4R3A/VgEHQKBAmbI/AAAAAAAD8zU/_YBPJ1p27xE/s72-c/mtangazaji_wa_redio_fb.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Pg8rDIIRsKw/VaWHy7p_HmI/AAAAAAAHpys/V3fb-xTtKVc/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
mtangazaji mahiri wa ITV na Radio One Isaack Muyenzwa Gamba ahamia DW Ujerumani
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pg8rDIIRsKw/VaWHy7p_HmI/AAAAAAAHpys/V3fb-xTtKVc/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala atangaza rasmi kuwania ubunge
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” katika pozi.
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K”...
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Seif Sharif Hamadi amtembelea mtangazaji wa Radio Noor FM Mnazi Mmoja Hospital alipolazwa
Aboubakar Fakih Mtangazaji wa Radio Noor FM 93.3 na nimuajiriwa wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Pichani akiwa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kwa matipabu ambapo amepata Ajali na kukatika mguu mmoja na mwengine kuumia pamoja na mkono ajali iliyosababishwa na hitilafu ya umeme katika Studio Masjid Swahaba Mtoni Zanzibar, aliumia baada ya kujirusha kutoka Juu ya Ghorofa Moja.
Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim. Seif Sharif Hamad akisalimiana na Aboubakar Fakih Mtangazaji wa Radio Noor FM...
9 years ago
Bongo505 Jan
Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza amtaja msanii wa Tanzania wa kutazamwa zaidi 2016
![bbc radio 1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/bbc-radio-1-300x159.png)
Mwaka unapoisha wafuatiliaji mbalimbali wa muziki huwa kwenye nafasi nzuri ya kuwafanyia tathmini wasanii kutokana na kazi walizofanya mwaka mzima, ambazo hutoa miongozo ya kutabiri nafasi ambazo wasanii hao wanaweza kuwa nazo katika mwaka unaofata.
Mtangazaji wa BBC Radio 1 Xtra ya Uingereza, DJ EDu ametaja orodha ya wasanii wake watano wa kuwatazama zaidi mwaka 2016, kutokana na kufanya vizuri mwaka 2015. Katika orodha hiyo amemtaja muimbaji wa Tanzania, Vanessa “Vee Money” Mdee ambaye...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-iuVp2sghwoU/VYHKVIQbYiI/AAAAAAAACIM/zerTe2tLsyY/s72-c/Screen-Shot-2015-06-17-at-12.08.31-PM-1.png)
VIDEO: MTANGAZAJI WA KIKE ATANGAZA HABARI AKIWA UCHI BAADA YA VENEZUELA KUIFUNGA COLOMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iuVp2sghwoU/VYHKVIQbYiI/AAAAAAAACIM/zerTe2tLsyY/s400/Screen-Shot-2015-06-17-at-12.08.31-PM-1.png)
Venezuel wameandika rekodi ya kushangaza baada ya kuichapa 1-0 Colombia kwenye mechi ya ufunguzi ya Copa America.
Katika kushangilia matokeo hayo, mwanamke mmoja Mtangazaji wa TV, Yuvi Pallares, aliamua kuripoti matokeo ya mechi hiyo akiwa mtupu.
Tazama video yenyewe hapa chini;
Toa maoni yako hapa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MSIBA WA MTANGAZAJI WA ZAMANI WA RADIO TANZANIA MSHINDO MKEYENGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Katika salamu alizomtumia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar Es Salaam, Mheshimiwa Sofia Mjema leo, Jumanne, Mei 26, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa kifo cha Mzee...
9 years ago
Bongo504 Nov
Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio
![EAR - Online Promo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/EAR-Online-Promo-300x194.jpg)
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?
Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.
Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...
10 years ago
MichuziExclusive: Maulid Kitenge wa Radio One ahamia Radio EFM
Kutokana na tafiti ya ipsos ya mwaka 2013,inasemekana kuwa mtangazaji huyo wa zamani wa kituo cha redio one,ndie mtangazaji bora wa michezo nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa vipindi wa Radio EFM,Dickson Ponela,ameeleza kufurahishwa kwake kwa mtangazaji huyo kinara kuhamia katika kituo hicho.
“Mpaka sasa Maulidi Kitenge...