Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: MTANGAZAJI WA KIKE ATANGAZA HABARI AKIWA UCHI BAADA YA VENEZUELA KUIFUNGA COLOMBIA

Siku chache kabla ya kuanza kwa Copa America 2015, watangazaji 8 wa kike wa nchi ya Venezuela walitengeneza video wakiwa uchi wakidai kuwasapoti wachezaji wa timu ya taifa kuelekea michuano hiyo.
Venezuel wameandika rekodi ya kushangaza baada ya kuichapa 1-0 Colombia kwenye mechi ya ufunguzi ya Copa America.
Katika kushangilia matokeo hayo, mwanamke mmoja Mtangazaji wa TV, Yuvi Pallares, aliamua kuripoti matokeo ya mechi hiyo akiwa mtupu.


Tazama video yenyewe hapa chini;


Toa maoni yako hapa...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu (Video)

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Kuna TV ya online ya nchini Venezuela iitwayo Desnudando la Noticia ambayo wasomaji wa habari husoma wakiwa watupu. Jionee mwenyewe: Related Tags:

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Mwananchi

Komla Dumor; Mtangazaji aliyefariki akiwa usingizini

>Afrika inasikitika kwa kifo cha Komla Dumor. Rais wa Ghana John Dramani Mahama amemtaja marehemu mtu huyu kama zawadi ya Ghana iliyoletwa kwenye ulimwenguni na kukaa kwa muda mfupi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala atangaza rasmi kuwania ubunge

1525677_749904191774263_4961655255847640040_n

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” katika pozi.

SAM_2530

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.

SAM_2529 (1)

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K”...

 

9 years ago

Bongo5

England wafuzu michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga timu ya taifa ya Estonia

Timu ya taifa ya England jana ilipata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Estonia katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Ulaya mechi ilichezwa katika uwanja wa Wembley, England. Magoli yalifungwa na Theo Walcott goli la kwanza dakika ya 45 kipindi cha kwanza akipokea pasi kutoka kwa Ross Barkley na Raheem Sterling […]

 

9 years ago

Bongo5

Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram

Ray new

Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.

Ray new

Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.

“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.

Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali

Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo, Mh Dkt Femella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi wakati wa fainali ya Mashindano ya Proin Women Taifa Cup yaliyofikia Tamati leo kwa kuzikutanisha Timu za Temeke na Pwani. IMG_1261 Waziri wa habari utamaduni na Michezo, Mh Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi kombe nahodha wa timu ya Temeke mara baada ya kuibuka washindi wa Mashindano ya Proin Women Taifa Cup ambayo yalichezwa katika Dimba la Azam huku Proin...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani