VIDEO: MTANGAZAJI WA KIKE ATANGAZA HABARI AKIWA UCHI BAADA YA VENEZUELA KUIFUNGA COLOMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iuVp2sghwoU/VYHKVIQbYiI/AAAAAAAACIM/zerTe2tLsyY/s72-c/Screen-Shot-2015-06-17-at-12.08.31-PM-1.png)
Siku chache kabla ya kuanza kwa Copa America 2015, watangazaji 8 wa kike wa nchi ya Venezuela walitengeneza video wakiwa uchi wakidai kuwasapoti wachezaji wa timu ya taifa kuelekea michuano hiyo.
Venezuel wameandika rekodi ya kushangaza baada ya kuichapa 1-0 Colombia kwenye mechi ya ufunguzi ya Copa America.
Katika kushangilia matokeo hayo, mwanamke mmoja Mtangazaji wa TV, Yuvi Pallares, aliamua kuripoti matokeo ya mechi hiyo akiwa mtupu.
Tazama video yenyewe hapa chini;
Toa maoni yako hapa...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Jun
Video: Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu (Video)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-x3pg1mX4R3A/VgEHQKBAmbI/AAAAAAAD8zU/_YBPJ1p27xE/s72-c/mtangazaji_wa_redio_fb.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Komla Dumor; Mtangazaji aliyefariki akiwa usingizini
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala atangaza rasmi kuwania ubunge
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” katika pozi.
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K”...
9 years ago
Bongo510 Oct
England wafuzu michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga timu ya taifa ya Estonia
9 years ago
Bongo511 Nov
Ray C aomba msamaha baada ya video yake akiwa mtupu kupostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram
![Ray new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Ray-new-300x194.jpg)
Siku ya jana Nov.10 kuna video mbaya ya mwanadada Rehema Chalamila maarufu kama Ray C akiwa mtupu akikata mauno zilipostiwa kwenye akaunti yake ya Instagram (@rayc1982) na muda mfupi baadaye kufutwa.
Akizungumza na U Heard ya Clouds Fm leo, Ray C amekiri kuwa ni kweli aliyeonekana kwenye video hiyo ni yeye.
“Ndio ni kweli video hiyo ilipostiwa kwenye akaunti yangu ila sio mimi niliyeipost.” Alisema Ray C.
Ray C aliongeza kuwa video hiyo alirekodiwa na mpenzi wake kwaajili ya matumizi...
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali
![IMG_1261](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_1261.jpg)