Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu (Video)

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni. Kuna TV ya online ya nchini Venezuela iitwayo Desnudando la Noticia ambayo wasomaji wa habari husoma wakiwa watupu. Jionee mwenyewe: Related Tags:

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: MTANGAZAJI WA KIKE ATANGAZA HABARI AKIWA UCHI BAADA YA VENEZUELA KUIFUNGA COLOMBIA

Siku chache kabla ya kuanza kwa Copa America 2015, watangazaji 8 wa kike wa nchi ya Venezuela walitengeneza video wakiwa uchi wakidai kuwasapoti wachezaji wa timu ya taifa kuelekea michuano hiyo.
Venezuel wameandika rekodi ya kushangaza baada ya kuichapa 1-0 Colombia kwenye mechi ya ufunguzi ya Copa America.
Katika kushangilia matokeo hayo, mwanamke mmoja Mtangazaji wa TV, Yuvi Pallares, aliamua kuripoti matokeo ya mechi hiyo akiwa mtupu.


Tazama video yenyewe hapa chini;


Toa maoni yako hapa...

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kucheza wakiwa watupu

WATU wanne wakazi wa eneo la Masasi Mbovu (Masasi ya zamani) mjini Masasi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kucheza uchi, kwa staili inayoitwa Kigodoro kwenye sherehe ya ndoa.

 

10 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kucheza “vigodoro” wakiwa watupu

WAKAZI wa eneo la Masasi Mbovu katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara wamefikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani kujibu shitaka linalowakabili la kucheza wakiwa watupu kwa staili ya vigodoro kwenye sherehe ya ndoa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watangazaji wa kike wanaoipamba Azam TV

Kila kampuni mpya inapotangaza nafasi za kazi, matarajio ni kuwa wanaume wengi ndio watakaoshinda usaili na kuajiriwa, lakini imani hii imekumbana na changamoto kwenye kampuni mpya ya utangazaji ya Azam Media.

 

9 years ago

Bongo5

Hii ni video ya Teknomiles wa Nigeria ambayo rapper wa Bongo Wakazi alitokea

Wakazi ni rapper ambaye ameshafanya vitu vingi kwenye hustle zake za kimuziki, lakini kama asemavyo mwenyewe hua haoni umuhimu wa ku ‘brag’ kila kitu kwa lengo la kujisifia. Wakati kuna wasanii wa Bongo ambao wana ndoto za kupata nafasi ya kwenda Nigeria kujitangaza na kutafuta connections na mastaa wa huko, rapper Wakazi ameshawahi kufanya hayo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea …

December 16 stori zilizopo kwenye mitandao mingi ya soka barani Ulaya ni kuhusu uamuzi wa uongozi wa klabu ya Chelsea kuhitisha mkutano wa dharura na kujadili mwenendo wa timu yao sambamba na kumjadili kocha Jose Mourinho. Nimekutana na video hii kutoka BBC ambayo wamekusanya matukio kadhaa ya Jose Mourinho akiwa hana furaha ndani ya Chelsea […]

The post Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio video ya matukio ya Ronaldinho ambayo hayawezi kusahaulika na nadra kutokea uwanjani …

Mtu wangu wa nguvu ikiwa leo Alhamisi ya December 24 ndio ile siku yetu ya kupost matukio mbalimbali ya zamani katika mitandao ya kijamii na kujikumbushia, naomba nikurudishe nyuma kidogo kwa matukio kadhaa ya soka. December 24 naomba nikukumbushie au nikusogezee video ya dakika 8 ya matukio ya staa wa soka kutokea Brazil Ronaldinho Gaucho, haya ndio […]

The post Hii ndio video ya matukio ya Ronaldinho ambayo hayawezi kusahaulika na nadra kutokea uwanjani … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani