Kizimbani kwa kucheza “vigodoro” wakiwa watupu
WAKAZI wa eneo la Masasi Mbovu katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara wamefikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani kujibu shitaka linalowakabili la kucheza wakiwa watupu kwa staili ya vigodoro kwenye sherehe ya ndoa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mbaroni kwa kucheza wakiwa watupu
WATU wanne wakazi wa eneo la Masasi Mbovu (Masasi ya zamani) mjini Masasi wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kucheza uchi, kwa staili inayoitwa Kigodoro kwenye sherehe ya ndoa.
10 years ago
Bongo517 Jun
Video: Kuna TV ya Venezuela ambayo watangazaji wa kike wanasoma habari wakiwa watupu (Video)
10 years ago
Bongo Movies05 Feb
JB na Ray Kucheza Filamu Wakiwa Kama Watoto wa King Majuto
Ndani ya mwaka huu panapo majaliwa, tutajionea filamu kali kutokakwa wakali wa filamu wa hapa Bongo, Jacob Stephen ‘JB’,Vicent Kigosi ‘Ray’na King Majuto.
Akidokeza kuhusu ujio huo, JB alisema kwenye filamu hiyo yeye na Ray watacheza kama watoto wa King Majuto na kwasasa wanatafuta mwigizaji wa kike ili mpango mzima ukamilike.
“Panapo uzima tutakuwa na filamu ya pamoja na king majuto na mwigizaji mmoja wa kike ambaye bado tunamtafuta.mimi na ray tutakuwa watoto wa king”. <span...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*AQLU9VdSBB7Xv7NCMjlUo5gZle50r8cQfMTRO8tqs3dE2oqtVw59iP5VzipLf4H7nWILaK77Ba33vc*O8E80m/efm.jpg?width=650)
EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Maafa yametuacha watupu
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...