Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO

Kundi la Bagamoyo Star kutoka wilaya ya Bagamoyo, Pwani.
Mashefa Musica kutoka Msasani wakikamua.
Baba Yoyoo akijipoza kwa lambalamba wakati akishuhudia matukio.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kucheza “vigodoro” wakiwa watupu

WAKAZI wa eneo la Masasi Mbovu katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara wamefikishwa kwa mara ya kwanza mahakamani kujibu shitaka linalowakabili la kucheza wakiwa watupu kwa staili ya vigodoro kwenye sherehe ya ndoa.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yanogesha usajili kwa kumwaga fedha

>Harakati za usajili zimeongezewa nguvu baada ya Kampuni ya Azam Media kutoa Sh462 milioni  kwa ajili ya maandalizi ya klabu za Ligi Kuu Bara msimu ujao utakaoanza Agosti 23.

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI LEO

Wakurugenzi wote wa Airtel wakiongozwa na mkuu wao Sunil Colaso (kati) wakikata keki leo wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ambapo inaadhimishwa duniani kote kuanzia tareh 6, Airtel imejipanga kuadhimisha wiki hii kwa kuwashuru wateja wake wote, kuongeza motishaa kwa watoa huduma wake wote nchini kuendelea kuhudumia wateja, pamoja na kuhamasisha kila mtoa huduma nchini kufahamu umhimu wa mteja.Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania Bw Sunil Colaso akiongea na wafanyakazi wote pamoja...

 

10 years ago

Michuzi

MZIIKI KWA KUSHIRIKIANA NA VODACOM TANZANIA YANOGESHA ZARI ALL-WHITE PARTY


Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platinumz ambaye ni balozi wa Mziiki ambayo ni program ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom Tanzania akiimba jukwaani Zari White Party iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. App hiyo inawaletea wateja burudani ya muziki kiganjani. Picha zote na Cathbert Angelo Kajuna wa Kajunason Blog.Mchumba wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platinum... Bibie Zari the bossylady akiwashukuru Watanzania waliofika...

 

9 years ago

Vijimambo

KWA STAILI HII KIPINDUPINDU HAKITATUACHA

 Maji ya shida, umeme kwa mgao, internet kwa vifurushi, daresalama mambo yake si salama, haya ndio yanayowakuta wakaazi wa daresalama. shida inapotokea wengine wananufaika, wengine wanahasirika, waburuta vitoroli kwao inakuwa neema, tenda za kuchota maji zinawaongezea kipato, lakini usalama wa maji hayo hauna uhakika wapi wameyapata, ugumu wa jibu  wasuali hilo, inawafanya wengine wakaze buti wakayatafute maji popote yalipo kwa gharama yoyote. PICHA NA VIJIMAMBO/KWANZA PRODUCTIONPamoja na...

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aanza U-DC kwa staili ya Mwinyi

>Alifanya Rais Ali Hassan Mwinyi na baadaye Augustine Mrema na sasa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda anataka kufuata nyayo baada ya kutenga kila Ijumaa kuwa siku maalumu ya kusikiliza kero za wananchi wake wa wilaya hiyo kuhusu suala nyeti la ardhi.

 

10 years ago

Habarileo

Siha waapisha viongozi kwa staili ‘yake’

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey MwanriMAMIA ya wananchi wa wilaya ya Siha juzi walifurika kwa wingi kushuhudia viapo vya kutumikia wananchi vikitolewa na viongozi waliochaguliwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri za vijiji.

 

10 years ago

Vijimambo

SANDRA NA GEORGE WAKIONDOKA UKUMBINI KWA STAILI YAO

 Sandra na George wakiwaaga wageni wao walipokua wakiondoka ukumbini. Sandra na George wakiwapungia wageni wao waliohudhuria harusi yao walipokua wakiondoka kwa staili yao ya pekee. Sandra na George wakiwa na furaha. Wakielekea kwenye usafiri wao Sandra na George wakishangiliwa kwa vigeregere na vifijo huku wakiimba wanameremeta. Sandra na George wakiwa tayari kwa kuondoka.Familia na Bi. harusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani