Azam yanogesha usajili kwa kumwaga fedha
>Harakati za usajili zimeongezewa nguvu baada ya Kampuni ya Azam Media kutoa Sh462 milioni kwa ajili ya maandalizi ya klabu za Ligi Kuu Bara msimu ujao utakaoanza Agosti 23.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Apr
USAJILI: Kavumbagu asaini Azam
>Harakati za usajili jana zilishika kasi wakati klabu ya Yanga ilipopata ‘pigo la mwaka’ baada ya mtikisaji wake nyavu, Didier Kavumbagu (pichani) kutia wino kwenye fomu za mabingwa wapya wa soka nchini, Azam FC.
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Usajili wa Mapunda Azam na hatma ya soka letu
AZAM imemsajili Ivo Mapunda katika usajili wa dirisha dogo.
Abdul Mkeyenge
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15
Kama ilivyozoeleka katika kila kipindi cha usajili, wapo wachezaji watakaotawala mazungumzo ya wapenzi wa soka kutokana na usajili wao kuzigharimu fedha nyingi klabu zao mpya na wakati mwingine klabu za awali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpkrM-0AXKQ12zWr5Zyf6N2MBge6z9hi65roz6Hu0PJBnJZnLEMWbp348OhCNQGKfgDP-Akca6UmvJun80L1grN/AMRIKIEMBA.jpg?width=650)
USAJILI: AZAM YAWARUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOMALIZA MIKATABA
Amri Kiemba. Gaudence Mwaikimba (kushoto) ambaye ni mmoja wa wachezaji walioruhusiwa kutafuta timu. Azam FC imewaruhusu wachezaji wake watatu waliomaliza mikataba yao kutafuta timu nyingine. Wachezaji hao ni Gaudence Mwaikimba, Amri Kiemba (mkopo toka Simba) na Wandwi Jackson Pia klabu imerefusha mikataba ya wachezaji waliokuwa wakikaribia kumaliza mikataba yao. Wachezaji hao ni Said Morad, Erasto Nyoni, Dedier Kavumbagu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzOyOj2djRSEE2oZzIj4n*JOWTicpHK33T21sdh6whEGy0I2F-efFIhpeei*qtEEi6NiYlt2O74parj8X50TlzW/domayo.jpg?width=650)
TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC
Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*AQLU9VdSBB7Xv7NCMjlUo5gZle50r8cQfMTRO8tqs3dE2oqtVw59iP5VzipLf4H7nWILaK77Ba33vc*O8E80m/efm.jpg?width=650)
EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO
Kundi la Bagamoyo Star kutoka wilaya ya Bagamoyo, Pwani.
Mashefa Musica kutoka Msasani wakikamua.
Baba Yoyoo akijipoza kwa lambalamba wakati akishuhudia matukio.…
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Mtibwa Sugar, Prison, Azam waishangaa Simba kutofuata taratibu za usajili
Klabu za Mtibwa Sugar na Prisons zimeutaka uongozi wa Simba ya Dar es Salaam ufuate utaratibu kama unataka kuwasajili baadhi ya wachezaji wao.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YmXyIaKf5VCexG0XGIcjo6BE9U*GctFlXbgyqGwgPeUlHJq57NMNV02K1DxssRFRqHUcHYVxr9dqP7xGcpEkysf/DkFadhili.gif?width=650)
DK. FADHILI KUMWAGA ZAWADI KWA WASOMAJI
Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emily amewataka wasomaji wa Magazeti Pendwa kukaa mkao wa kula kwani ataanza kutoa zawadi mbalimbali kupitia mashindano. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Dk. Fadhili ambaye amekuwa akidhamini mashindano mbalimbali ya magazeti ya Global Publishers, alisema kwa kuanzia, wasomaji wa Gazeti la Amani, watazawadiwa ‘flat screen’....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania