Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USAJILI: AZAM YAWARUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOMALIZA MIKATABA

Amri Kiemba. Gaudence Mwaikimba (kushoto) ambaye ni mmoja wa wachezaji walioruhusiwa kutafuta timu. Azam FC imewaruhusu wachezaji wake watatu waliomaliza mikataba yao kutafuta timu nyingine. Wachezaji hao ni Gaudence Mwaikimba, Amri Kiemba (mkopo toka Simba) na Wandwi Jackson Pia klabu imerefusha mikataba ya wachezaji waliokuwa wakikaribia kumaliza mikataba yao. Wachezaji hao ni Said Morad, Erasto Nyoni, Dedier Kavumbagu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametamka kwamba baadhi ya wachezaji wake hawakufuata maelekezo katika zoezi la upigaji wa penalti ambazo ziliwaondoa mashindanoni, huku mshambuliaji wake Kipre Tchetche akikataa kupiga penalti hizo.

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji wasome vizuri mikataba yao

Taarifa za msanii Diamond Platinumz kuwa kiini cha vurugu katika onyesho lililoshindwa kufanyika baada ya kuchelewa kupanda jukwaani kutumbuiza nchini Ujerumani, zimechafua jina lake.

 

9 years ago

Habarileo

Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji

KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Matapeli wavamia usajili wa wachezaji

Dar es Salaam. Wakati usajili wa wachezaji nchini ukiendelea kushika kazi, kumezuka wimbi la watu wanaojifanya mawakala, wawakilishi wa wachezaji, kumbe ni matapeli, gazeti hili limebaini.

 

10 years ago

BBCSwahili

England yakufuru usajili wa wachezaji

FIFA imesema vilabu vya mpira wa miguu vilitumia dola bilioni 4.1 katika uhamisho wa wachezaji wa kimataifa mwaka uliopita,

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA SHERIA YAPITISHA USAJILI WA WACHEZAJI

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji imepitisha usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza huku wenye kasoro ndogondogo klabu zao zikitakiwa kuziondoa ili waweze kupatia leseni za kucheza ligi msimu huu wa 2014/2015.
Kasoro hizo ni kufikia makubaliano na klabu ambazo wachezaji husika wametoka, kuwafanyia uhamisho (transfer) na kulipa ada za uhamisho. Kamati vilevile ilibaini wachezaji wengi hawakufanyiwa uhamisho kama kanuni za ligi hizo zinavyoelekeza.
Hivyo, klabu...

 

9 years ago

Mwananchi

Usajili wa wachezaji uwe wenye kuleta tija

Dirisha la usajili wa wachezaji kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara na ile ya Daraja la Kwanza limefunguliwa rasmi jana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

11 years ago

Mwananchi

USAJILI: Kavumbagu asaini Azam

>Harakati za usajili jana zilishika kasi wakati klabu ya Yanga ilipopata ‘pigo la mwaka’ baada ya mtikisaji wake nyavu, Didier Kavumbagu (pichani) kutia wino kwenye fomu za mabingwa wapya wa soka nchini, Azam FC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani