USAJILI: AZAM YAWARUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOMALIZA MIKATABA
![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpkrM-0AXKQ12zWr5Zyf6N2MBge6z9hi65roz6Hu0PJBnJZnLEMWbp348OhCNQGKfgDP-Akca6UmvJun80L1grN/AMRIKIEMBA.jpg?width=650)
Amri Kiemba. Gaudence Mwaikimba (kushoto) ambaye ni mmoja wa wachezaji walioruhusiwa kutafuta timu. Azam FC imewaruhusu wachezaji wake watatu waliomaliza mikataba yao kutafuta timu nyingine. Wachezaji hao ni Gaudence Mwaikimba, Amri Kiemba (mkopo toka Simba) na Wandwi Jackson Pia klabu imerefusha mikataba ya wachezaji waliokuwa wakikaribia kumaliza mikataba yao. Wachezaji hao ni Said Morad, Erasto Nyoni, Dedier Kavumbagu,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Wachezaji wasome vizuri mikataba yao
9 years ago
Habarileo29 Aug
Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji
KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
10 years ago
Mwananchi30 May
Matapeli wavamia usajili wa wachezaji
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
England yakufuru usajili wa wachezaji
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WuFgS_PNUb4/VBbjSbtBfPI/AAAAAAAGjyQ/ixKCTBJvF5I/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
KAMATI YA SHERIA YAPITISHA USAJILI WA WACHEZAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WuFgS_PNUb4/VBbjSbtBfPI/AAAAAAAGjyQ/ixKCTBJvF5I/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Kasoro hizo ni kufikia makubaliano na klabu ambazo wachezaji husika wametoka, kuwafanyia uhamisho (transfer) na kulipa ada za uhamisho. Kamati vilevile ilibaini wachezaji wengi hawakufanyiwa uhamisho kama kanuni za ligi hizo zinavyoelekeza.
Hivyo, klabu...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Usajili wa wachezaji uwe wenye kuleta tija
11 years ago
Mwananchi30 Apr
USAJILI: Kavumbagu asaini Azam